kichupa kitakuwa cha og Mungu ibariki Tanganyika au remix Mungu ibariki Tanzania?Ninakupa kazi moja,...Tafuta video queen mzuri tufanye yetu.
Tangu 1961 tumekuwa tukisikiliza audio ya wimbo wa taifa pekee, sasa nauliza video yake inatoka lini?....Tafadhali mwenye namba ya GodFather production anitumie nimpe kazi.