Kuhusu Vita ya Siku Sita!

Status
Not open for further replies.
Je Buchanan unataka kutoa ujumbe gani katika thread hii? Je unashabikia uovu ambao Israel wanawafanyia waarabu na hapa ni wapalestina? Kumbuka ni wayahudi hao hao walimtesa bwana yetu Yesu. je kwa imani yako ulifurahia kuteswa kwa Yesu pia?

Inashangaza pale mtu unapokuwa na upenzi wa mambo ya uovu na dhuruma kwa watu wengine!!!!!
 
Je Buchanan unataka kutoa ujumbe gani katika thread hii? Je unashabikia uovu ambao Israel wanawafanyia waarabu na hapa ni wapalestina? Kumbuka ni wayahudi hao hao walimtesa bwana yetu Yesu. je kwa imani yako ulifurahia kuteswa kwa Yesu pia?

Inashangaza pale mtu unapokuwa na upenzi wa mambo ya uovu na dhuruma kwa watu wengine!!!!!

Nadhani kwa makusudi umeamua kupindisha mjadala, Buchanan kauliza ilikuwaje nchi za kiarabu zote zikajiunga pamoja kutaka kuishambulia Israel na tangu vita imepigana wamejifunza nini? hayo mambo ya uovu wa Israel yanahitaji topic yake hapa tunazungumzia sababu ya vita na somo lilipatikana baada ya vita.

Hii vita ndio ilionyesha umuhimu wa Air superiority na preemptive strikes.
 
TOKA HAPA EGYPT opted to collaborate with ISRAEL when the issue of conflict arise.....! ni ngumu kumsikia MISRI akiungana na waarabu wenzake kutaka kupambana na ISRAEL.....!
 
Pamoja na maelezo hayo kilichochangia kushinda ni pamoja na timing kwani waisrael hawakuwapa nafasi air forse ya waarabu walizipiga ndege zote hali iliyopelekea rais gamal kufa kwa kiwewe

Bwana mdogo, timing siyo sababu kabisa hapa. kama timing ingekuwa sababu, basi Waisrael wangeshindwa vita ya Yom kipur ambayo waarabu walishitukizwa wakiwa kwenye sikukuu ya Yomn kipur, the fact is that, Mungu wa Ibrahim isaka na Yakobo yupo pamoja na waisrael, na hakuna wa kuwafanya lolote hata kama nchi yoyote itakuwa na nyukilia kama iran inavyotaka kuwa. hata kama marekani watakataa kuisaidia israel, hiyo si sababu, israel peke yake inao uwezo bila hata ya marekani kupambana na kuwapiga waarabu wote. wanazo silaha za kisasa, wanayo training bora, na wanaye Mungu aliye hai, anayewashindia. waarab hawana Mungu, wana miungu na majini, majini hayajawasaidia hadi leo, yangekuwa yanawasaidia wangemkodo sheh Yahya akawaloge waisrael.

Kina ex-pastor wametulia kimyaaaa, ni aibu kwao hapa. thanks kwa hii mada. ni kiboko kuwaonyesha kuwa, wanachoabudu ni sifuri, wanatakiwa wamwabudu Mungu wa israel, pekee, na si mwamedi.
 
Ile vita maarufu kama "Six Day War" (Waarabu hupenda kuiita "the 1967 War" kwa sababu ya kukwepa humiliation) kati ya Israel na Waarabu iliyopiganwa mwaka 1967 inanifanya niulize swali: Kwa nini nchi tano za Kiarabu (Jordan, Egypt, Iraq, Lebanon na Syria - Nchi nyingine nyingi za Kiarabu pia zilichangia fedha,mafuta, wanajeshi, etc) zilishindwa na kanchi kadogo kama Israel? Je, Waarabu wamejifunza somo gani kuhusu vita hiyo?

Unashangaa kuhusu Vita vya siku Sita kati ya waarabu na Waisrail? Hushangae Nchi Kubwa ya Marekani ilivyoshindwa Vita na Nchi ndogo ya Vietnam?
The Vietnam War, also known as the Second Indochina War, the Vietnam Conflict or the American War,[14] was a Cold War military conflict that occurred in Vietnam, Laos, and Cambodia from September 26, 1959,[1] to April 30, 1975. This war followed the First Indochina War and was fought between the communist North Vietnam, supported by its communist allies, and the government of South Vietnam, supported by the United States and other anti-communist nations.[15]
The Viet Cong, a lightly-armed South Vietnamese communist-controlled common front, largely fought a guerrilla war against anti-communist forces in the region. The North Vietnamese Army engaged in a more conventional war, at times committing large units into battle. U.S. and South Vietnamese forces relied on air superiority and overwhelming firepower to conduct search and destroy operations, involving ground forces, artillery and airstrikes.
The United States entered the war to prevent a communist takeover of South Vietnam as part of their wider strategy of containment. Military advisors arrived beginning in 1950. U.S. involvement escalated in the early 1960s, with U.S. troop levels tripling in 1961 and tripling again in 1962.[16] U.S. combat units were deployed beginning in 1965. Operations spanned borders, with Laos and Cambodia heavily bombed. Involvement peaked in 1968 at the time of the Tet Offensive. After this, U.S. ground forces were withdrawn as part of a policy called Vietnamization. Despite the Paris Peace Accords, signed by all parties in January 1973, fighting continued.
The Case-Church Amendment, passed by the U.S. Congress in response to the anti-war movement, prohibited direct U.S. military involvement without congressional authorization after August 15, 1973. U.S. military and economic aid continued until 1975.[17] The capture of Saigon by North Vietnamese army in April 1975 marked the end of Vietnam War. North and South Vietnam were reunified the following year.
The war exacted a huge human cost in terms of fatalities (See: Vietnam War casualties), including 3 to 4 million Vietnamese from both sides, 1.5 to 2 million Laotians and Cambodians, and 58,159 U.S. soldiers.[18] By this war's end, the Vietnamese had been fighting foreign involvement or occupation in various wars for over a hundred years.

Chuck Norris : Missing In Action Scene II





Wabongo Mnajuwa Maana Ya ( Missing In Action)? Angalieni hizo Video jinsi Wamerekani Walivyoshindwa Vita na Vietnam.
 
Last edited by a moderator:
MziziMkavu naona umeamua kwa makusudi kudivert mada kupitia post #25, hiyo vita ya Vietnam imeingiaje hapa? Kwa nini usijibu maswali kuhusu nchi tano kudunguliwa kwa aibu ya karne na kunyang'anywa maeneo (Golan Heights, Sinai Peninsula, Gaza, East Jerusalem, nk) na kataifa kadogo namna hiyo? Hiyo vita ya Vietnam kwani ilikuwa ni kati ya Israel na Waarabu? Usituchanganye hapa, anzisha Thread nyingine kuhusu Vita ya Vietnam tutachangia bila wasiwasi wowote!
 
Nadhani kwa makusudi umeamua kupindisha mjadala, Buchanan kauliza ilikuwaje nchi za kiarabu zote zikajiunga pamoja kutaka kuishambulia Israel na tangu vita imepigana wamejifunza nini? hayo mambo ya uovu wa Israel yanahitaji topic yake hapa tunazungumzia sababu ya vita na somo lilipatikana baada ya vita.

Hii vita ndio ilionyesha umuhimu wa Air superiority na preemptive strikes.

Afadhali umemjibu, majibu hayo yanamtosheleza bila shaka!
 
kifupi ni kuwa hata waisrael wenyewe hawana maelezo sahihi ya jinsi walivyoshinda, kwani walikuwa na jeshi dogo na vifaa vichache. Ila cha kushangaza waarabu hawakutumia silaha zao hata baada ya vita kuisha silaha zao nyingi zilibaki kama zilivyo. na kuna baadhi waliohojiwa ambao walisema kuwa walikuwa wanaona wanajeshi waliovalia sare nyeupe, wengine walisema waliona malaika.

Kifupi Mungu alikuwa upande wa wa-Israel na ndio maana kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu vita hii vyote kivika havina majibu sahihi. Na kuhusu kujifunza kwa waarabu, usisahau unabii uliotolewa na nabii Isaya na kurudiwa na Yesu kuwa watakuwa na macho ila hawataona na watakuwa na masikio ila hawata sikia.

Mambo ya Mungu hueleweka kwa wale tu walio katika nafasi ya kuelewa
 
kifupi ni kuwa hata waisrael wenyewe hawana maelezo sahihi ya jinsi walivyoshinda, kwani walikuwa na jeshi dogo na vifaa vichache. Ila cha kushangaza waarabu hawakutumia silaha zao hata baada ya vita kuisha silaha zao nyingi zilibaki kama zilivyo. na kuna baadhi waliohojiwa ambao walisema kuwa walikuwa wanaona wanajeshi waliovalia sare nyeupe, wengine walisema waliona malaika.

Kifupi Mungu alikuwa upande wa wa-Israel na ndio maana kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu vita hii vyote kivika havina majibu sahihi. Na kuhusu kujifunza kwa waarabu, usisahau unabii uliotolewa na nabii Isaya na kurudiwa na Yesu kuwa watakuwa na macho ila hawataona na watakuwa na masikio ila hawata sikia.

Mambo ya Mungu hueleweka kwa wale tu walio katika nafasi ya kuelewa

Mmh, hapo kwenye red nilikuwa sijawahi kusikia story kama hizo! Whatever the case, hii vita inanikumbusha mambo ya "90 Minutes at Enttebbe" ambapo magaidi ya Ki-Palestina yaliyoteka ndege ya Kifaransa yalipata somo jingine la karne toka kwa makomandoo ya Waisraeli mwaka 1976!
 

Mmh, hapo kwenye red nilikuwa sijawahi kusikia story kama hizo! Whatever the case, hii vita inanikumbusha mambo ya "90 Minutes at Enttebbe" ambapo magaidi ya Ki-Palestina yaliyoteka ndege ya Kifaransa yalipata somo jingine la karne toka kwa makomandoo ya Waisraeli mwaka 1976!

fanyia utafiti na soma zaidi kuhusu vita hii, ndipo utajua uwezo wa Mungu.
 
Nini siri ya ushindi wa Israel? Kiroho, Israel ni taifa teule na hivyo Mungu wa Ibrahim, Mungu wa Isaac na Mungu wa Yakobo aliwasaidia Waisrael kuwaashinda Waarabu. Kisiasa, nguvu ya Wayahudi katika mfumo wa uchumi/fedha na utawala wa Marekani ni kubwa sana na ndiyo iliyosaidia kuhakikkisha Waisrael wanapata misaada yote waliyohitaji wakati wa kupigana vita hii. Inapokuja kuchagua kati ya Israel na Waarabu / Mafuta, taifa la Marekani huchagua Israel.

Mama Mdogo,

Kama mungu ana taifa teule, ina maana mungu ana upendeleo?
 
kifupi ni kuwa hata waisrael wenyewe hawana maelezo sahihi ya jinsi walivyoshinda, kwani walikuwa na jeshi dogo na vifaa vichache. Ila cha kushangaza waarabu hawakutumia silaha zao hata baada ya vita kuisha silaha zao nyingi zilibaki kama zilivyo. na kuna baadhi waliohojiwa ambao walisema kuwa walikuwa wanaona wanajeshi waliovalia sare nyeupe, wengine walisema waliona malaika.

Kifupi Mungu alikuwa upande wa wa-Israel na ndio maana kuna vitabu vingi vimeandikwa kuhusu vita hii vyote kivika havina majibu sahihi. Na kuhusu kujifunza kwa waarabu, usisahau unabii uliotolewa na nabii Isaya na kurudiwa na Yesu kuwa watakuwa na macho ila hawataona na watakuwa na masikio ila hawata sikia.

Mambo ya Mungu hueleweka kwa wale tu walio katika nafasi ya kuelewa

Umengoea vizuri sana. ni kweli Mungu aliwapigania. inawezekana alituma malaika, sisi hatujui, inawezekana aliwatetea kwa namna yoyote ile sisi hatujui, ila cha muhimu ni kwamba, ile vita alishinda Mungu mwenyewe, sifa na utukufu kwake. pia ni ishara ya namna gani Mungu atakapokuja kuwapiga robo tatu ya majeshi yatakayoshuka kuipiga israel kipindi kifupi kijacho, wakati wa vita vya gogu na magogu, na ile ya al magedoni kama sikosei. hapo inasemekana Mungu atatuma hadi tetemeko la nchi, mvua ya mawe na kila aina ya mashambulizi kuwateketeza majesho yatakayoshuka kuiteketeza israel, ambayo baadaye it is prophesised kuwa yatakuwa ni Russia, mataifa ya kiarabu na China zote kwa pamoja zikiwa zimejiunga kuivamia nchi moja, wakati huo marekani na nchi zingine zote zitakuwa zimeshaitosa israel kwasababu ya mfalme atakayekuwa anatawala muda huo.

Kuna mkanda ninao, wanajeshi wa israel walihojiwa juu ya ile vita, unaambiwa kuna sehemu walifika waarabu wakawa wameweka mabomu ya ardhini kiasi kwamba kama mtu a kipita hapo, hakuna atakayepona. walianza kutumia visu kudetect mabomu, lakini yalikuwa mengi mno wakawa wanataka kukata tamaa, AJABU ULITOKEA UPEPO KAMA WA KIMBUNGA, WA KIMUUJIZA, UKALAMBA MCHANGA WA JANGWANI NA MAVUMBI, MABOM YOOOTE YAKAONEKANA PEUPEEE, kiasi kwamba ilikuwa rahisi sasa kwa wanajeshi hao kutembea wakiwepa kutokanyaga mabom hayo. kuna njia nyingi waarabu walifanya lengo lao likiwa ni kuwateketeza moja kwa moja waisrael wote, lakini Mungu alishaahidi kuwa hatawaacha watoto wa Yakobo milele. Mungu wa Israel alionekana kuwa mkuu kuliko muungu wa mwamedi alah. NDIYO MAANA WAISRAEL HAWANA SHAKA SANA NA NUCLEAR YA IRAN, wala hawababaiki na Obama kutoonekana akiwa upande sana wa israel....wanajua kwa vyovyote vile, Mungu atakuwa upande wao.

Imeandikwa wamtumainio Bwana ni kama mlima sayuni, hawatatikisika milele, kama vile milima iuzungukavo yerusalem ndivyo Bwana anavyowazunguka wamchao, washindanao na Bwana watapondwa kabisa, toka mbinguni yeye atawaagizia radi, ni fundisho kwetu, kumtegemea Mungu tu! WENGINE WANAPOTEGEMEA MAGARI NA FARASI, WENGINE WANAPOTEGEMEA UCHAWI NA UGANGA, SISI TUTAMTEGEMEA BWANA MILELE, na hakika yake Mungu hatakuangusha, hautaaibika mbele ya adui yako kama utamtumainia Bwana katika hali zako zote. kumbuka kwa msaada wa Bwana tunatenda makuu, maana yeye anawakanyaga watesi wetu wote....Mungu na awabariki, Haleluya!
 
Du!!

Hapa inaonekana tayari Mungu ana watu wake teule!!??
Ina maana waarabu hawataenda kwa Mungu kwasababu wanapambana na waisrael!?
Jamaani tusichanganye vita na Mungu hapa - mada hii haina mvuto katika fikira zangu kwa sasa!!!!!
Na hii ingekaa kwenye masuala ya dini kulee! sio hapa!
 
Mama Mdogo,

Kama mungu ana taifa teule, ina maana mungu ana upendeleo?

Biblia inasema Mungu hana upendeleo!

Unless kama unataka sababu kwa nini ni taifa teule! hakuna connection ya uteule na kupendelewa! kilichowapata hilo taifa teule kuanzia Mungu anamwambia Ibrahim ondoka nchi ya wazazi wake Uri ya walkadayo kwenda Canaan! kwenda utumwani Misri miaka mia nne, kurudi Israel, kutawanywa duniani kuuawa na akina Hitler etc. etc. sijajua upendeleo huu unaousema ni upi! they have suffered thats what I know so far!

Kwa nini Israel??, nature yao wana akili , wabishi, wavumilivu, wajasiri, na sio watu wa kuamini kirahisi rahisi. wameshuhudia maji yanagawanyika pande mbili na baada ya kuvuka bahari bado wana mdeny Mungu , unafikiri taifa la kawaida hilo?

Yaani kama wewe Kiranga kwa kutomwamini Mungu na Yesu, you are like Israel, ili kukubadilisha nguvu za Mungu zinahitajika. Ubishi wao na kutoamini kwao na roho ya kigeugeu vinaelezea jinsi gani Mungu wetu alivyo wa upendo mno hata kutuangalia sisi kama wandamu tu.

Huo uteule ni kutoonyesha jinsi gani anavyotupenda upeo! nothing more.
 
Bwana mdogo, timing siyo sababu kabisa hapa. kama timing ingekuwa sababu, basi Waisrael wangeshindwa vita ya Yom kipur ambayo waarabu walishitukizwa wakiwa kwenye sikukuu ya Yomn kipur, the fact is that, Mungu wa Ibrahim isaka na Yakobo yupo pamoja na waisrael, na hakuna wa kuwafanya lolote hata kama nchi yoyote itakuwa na nyukilia kama iran inavyotaka kuwa. hata kama marekani watakataa kuisaidia israel, hiyo si sababu, israel peke yake inao uwezo bila hata ya marekani kupambana na kuwapiga waarabu wote. wanazo silaha za kisasa, wanayo training bora, na wanaye Mungu aliye hai, anayewashindia. waarab hawana Mungu, wana miungu na majini, majini hayajawasaidia hadi leo, yangekuwa yanawasaidia wangemkodo sheh Yahya akawaloge waisrael.

Kina ex-pastor wametulia kimyaaaa, ni aibu kwao hapa. thanks kwa hii mada. ni kiboko kuwaonyesha kuwa, wanachoabudu ni sifuri, wanatakiwa wamwabudu Mungu wa israel, pekee, na si mwamedi.

Mkuu kwenye hii vita timing ilikuwa kila kitu, kumbuka katika zile wiki tatu kabla ya vita waisrael walikuwa wanafanya mazoezi na kuangalia possible scenarios zote ndani ya kipindi hiki waliweza kurefit ndege zao kuhandle four sorties in a day kulinganisha na pilots wa U.A.R.

Asubuhi ya vita Operation Moked ilianza saa moja na dakika arobaini na tano, IAF walirusha ndege zao zote (200) kuelekea Misri walishambulia na kuharibu ndege karibia zote za Misri na kuharibu viwanja vyao kitu kilichowafanya washindwe kurusha ata zile ndege zilizokuwa nzima. Tukumbuke kipindi hiki Misri ilikuwa na jeshi kubwa na lenye vifaa vingi kuliko jeshi lolote la nchi za kiarabu, kwa hiyo timing was everything.
 
whatever you may call, be it timing au nini, ukweli utabaki palepale, Mungu ndiye aliyewashindia waisrael. period. asante.
 
Israelis area always one step ahead of the Arabs!

not only one step brother, ni zaidi ya step nyingi zisizohesabika. Ktk kila kitu, wako mbali mno kulinganisha na waarabu. kwanza ni nchi pekee katika middle east ambayo ni democratic kuliko zote, zingine zote ubabaishaji na ukandamizaji mtupu. kiteknologia iko mbali mno, kijeshi inaweza kuwa ya nne katika dunia ukiondoa USA,France, Russia. cha muhimu zaidi ni kwamba, zaidi ya kuwa Mungu yupo pamoja nao, wao wenyewe wameiweka israel moyoni na wako tayari kuitetea hadi tone la mwisho. ndio maana kuna wamarekani wa kiyahudi wengi tu huwa wanaenda kuserve jeshi la israel kila mwaka hata kwa doria tu, ni sera ya wayahudi wote duniani, wanajiwekea ktk kipindi fulani lazima aende israel kuserve kwenye military kwa kipindi fulani. wana haki zote kushinda, na sasa wametengeneza silaha kudaka mabomu na rockets zinazorushwa na hamas /hezbolah kabla hazijafika ardhini, nchi nzima itawekwa mitambo inayo sense automatically kama kuna rocket inayokuja, hivyo inaidaka na kuidestroy hewani automatikali. another plan ni kuchukua ardhi yote ya east Jerusalem ambako wameshaanza kujenga makazi mengi ya wayahudi. the biggest future plan ni kubomoa ule msikiti unaomilikiwa na waislam pale temple mount na the dome of the rock, sehemu takatifu sana kwa waisrael ambapo ndo mfalme wao Sulemani alimjengea Mungu hekalu ambalo Mungu alimwambia Daudi kuwa mtoto wake daudi ndo anastahili kujenga hekalu. waislam walikuja kulibomboa na kujenga msikiti wao pale kitu ambacho lazima israel wajenge, na ukiona wanajenga ujue ndo tuko mstari wa mwisho kwa Yesu kuja, kwasababu vita itakayotokea hapo ni ya kufa mtu, mataifa yote ya waislam yakisaidiwa na Russia na China, yatajiunga kuivamia israel, hapo ndipo Mungu atakapowateketeza ili litimie neno la Ezekiel 38, moja ya sita ya majeshi hayo yatateketea si kwa upanga wa waisrael bali kwa mashambulizi toka mbinguni...hii itakuwa ili dunia nzima ijue ya kuwa hakuna Mungu mwingine ila Mungu wa israel.
 
Mama Mdogo,

Kama mungu ana taifa teule, ina maana mungu ana upendeleo?

tunasema ni taifa teule kwasababu Mungu alitoa ahadi nyingi sana kwa baba zao waisrael miaka mingi iliyopita, na ili Mungu asionekane mwongo kwasababu yeye si mwanadamu, ni lazima atimize yote aliyowaahidia Ibrahim,isaka na yakobo juu ya kizazi chao. Pili, hili ni taifa ambalo baada ya dunia nzima kuwa mbali na Mungu, Mungu aliamua kumfikia mwanadamu kupitia kizazi kilichokuwa kinamwamini yeye kipindi hicho, Ibrahim; ili mwokozi wa ulimwengu aje akitokea katika ukoo huo baadaye...sisi wa mataifa mengine tulikuwa tukiabudu mashetani, miti, mapango na mito etc, israel peke yake ndo walikuwa wamebaki wakimwamini Mungu miaka hiyo iliyopita, ndo maana Mungu aliwateua ili kujidhihirisha katika ulimwengu kuwa Yeye ni mkuu kuliko miungu mingine yote, na akaliteua israel kama instrument ya kuuonyesha ukuu wake kwa wanadamu ili yamkini, wanadamu walijue hilo na wamwamini Mungu wakapone. ilikuwa ni njia Mungu alikuwa anatafuta kujidhihirisha kwa wanadamu, na ulikuwa mpango wake kuteua taifa ambalo yeye atajifanya kuwa mwili, akae kwetu kama mwanadamu na baadaye atukomboe sisi wanadamu katika mwili huu mdhaifu wa kibinadamu, yaani kwa njia ya Yesu kristo ambaye alitabiriwa na ilipangwa na Mungu kujitokeza kupitia taifa la israel. so ni taifa teule kwasababu Mungu aliliteua ili kujidhihirisha kwa wanadamu kuwa yeye ndiye mwumbaji na Mungu mkuu kuliko vitu vyote. aliwafanya israel mboni ya jicho lake, atakayekuwa anawagusa, anagusa mboni ya jicho la Mungu.

pia, tunaposema Mungu hana upendeleo, tunamaanisha kuwa, Mungu humpa kila mtu sawasawa na haki yake, kwa njia ya neema yake, hivyo hawezi akakupendelea hivihivi tu. si sawa na wewe unavyoweza kutoa kitu kwa mtu wa kabila lako hata kama hastahili, huo ndo upendeleo. kwa mfano huu, waisrael wanastahili ahadi zote ambazo Mungu aliwaahidia kwasababu ndio wao pekee walikuwa wanamwabudu Mungu wa kweli wakati mataifa mengine yote yakiabudu mizimu na mashetani. so wanastahili kwa kumwabudu Mungu wa kweli kabla yetu, sio kwamba wanapendelewa, wanastahili, kwa kupitia wao tunamjua Mungu, kwa kupitia wao tumepata Biblia takatifu, kwa kupitia wao Mungu aliongea na wanadamu, kwa kupitia wao Mkombozi alishuka toka mbinguni kupitia ukoo wao....ndo maana tunasema ni taifa teule, tena bila upendeleo, bali kwa kustahili kuwa wateule.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom