kweli nimeamini ccm wengi wenu uongo ni kipaji huoni ata aibu eti nasikia wakati kila kitu kipo wazi ila mnarolitafuta msije tafuta mchawiWale nilisikia wanafanya mikutano ya ndani!
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli nimeamini ccm wengi wenu uongo ni kipaji huoni ata aibu eti nasikia wakati kila kitu kipo wazi ila mnarolitafuta msije tafuta mchawiWale nilisikia wanafanya mikutano ya ndani!
Ulitaka niseme nimeshiriki hiyo mikutano?!!kweli nimeamini ccm wengi wenu uongo ni kipaji huoni ata aibu eti nasikia wakati kila kitu kipo wazi ila mnarolitafuta msije tafuta mchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile ni mikutano ya ndani !
Jaribuni kutikisa kiberitiTukuulize wewe Johnthebaptist kuwa akina Dr Bashiru na Polepole wanaofanya mikitano nchi nzima, je wao wameruhusiwa??
Je wao ni wabunge wa Chama gani??
Kama wao wameruhusiwa, ni kwanini wazuiwe kufanya mikutano hiyo viongozi wa Chadema pekee??
Kama mbwali na iwe mbwali!
afu huyu jamaa Bushiri alipokuwa chuo anaongoza mijadala ya kigoda cha Mwalimu nilimuona bonge la kichwa !! kumbe laaaa - anarudia yale yale ambayo Mwalimu aliyakemea kwa nguvu zote. huu ni unafiki na usaliti kwa falsafa ya Mwalimu.
Mkuu hiyo para ya mwisho una uhakika?!afu huyu jamaa Bushiri alipokuwa chuo anaongoza mijadala ya kigoda cha Mwalimu nilimuona bonge la kichwa !! kumbe laaaa - anarudia yale yale ambayo Mwalimu aliyakemea kwa nguvu zote. huu ni unafiki na usaliti kwa falsafa ya Mwalimu.
Na huyo mwezie ndiyo balaa tupu, wakati wa Bunge la KATIBA nilijua bonge la kijana mpigania haki za binadamu na ana uchungu wa nchi kumbe laaaa... mzee wa procurement za wabunge na madiwani wa upinzani.
aaa iko wazi hiyo, tatizo wana under estimate uwezo wa kufikiri wa watanzania. ni mbaya mbaya sanaMkuu hiyo para ya mwisho una uhakika?!
Kuna tofauti ya mikutano yao.ya hao unaowasema ktk mikutano yao sio ya kuhimiza maendeleo kazi yao ni mitusi na kashifa ndio mwanzo mwisho. sasa hao unaowaona kazi yao kuhimiza maendeleo na kushiriki moja kwa moja ktk shughuli zao. Hiyo tofauti zaoTukuulize wewe Johnthebaptist kuwa akina Dr Bashiru na Polepole wanaofanya mikitano nchi nzima, je wao wameruhusiwa??
Je wao ni wabunge wa Chama gani??
Kama wao wameruhusiwa, ni kwanini wazuiwe kufanya mikutano hiyo viongozi wa Chadema pekee??
Kama mbwali na iwe mbwali!
Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu hii ndoto hata mimi naipendaga kuiota yaani naipenda kama nini!. tatizo letu watanzania hatuna mshikamano na umoja. Sipati picha huu uongozi ungalikuwa somaliaNi rahisi tu wapinzani wafanye mikutano, kisha polisi wakitumwa kuwapiga ni kuwatambua hao polisi. Familia zao zinafahamika, wanapoishi panafahamika. Ni kuwafanyia hujuma na familia zao kama kuchoma nyumba zao, kuweka sumu kwenye vyombo vya familia zao hasa maji ya kunywa, na wakiingia bar kuwawekea sumu kwenye vinywaji na chakula. Kubaka watoto wao. Tukifika hapo hao wanaowatuma kwenye makatazo haramu itabidi wajiulize maana misiba itakuwa ya kutosha. Hii ni ndoto tu isitekelezwe.
Mkuu hii ndoto hata mimi naipendaga kuiota yaani naipenda kama nini!. tatizo letu watanzania hatuna mshikamano na umoja. Sipati picha huu uongozi ungalikuwa somalia
Sent using Jamii Forums mobile app
unawaza kuua tuyaai rohoya ccm hatari sanawakaanzie hai na arusha mjini pia viongozi wao wawembele sio kutangiliza watoto wa maskini huku viongozi wako bar wankinywa konyagi
Kasoma katiba ya nchi then ujr ufute hii takataka uliyotuletea hapaKumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
CDM ni wakuonewa huruma. Tamko la Zanzibar limefikia wapi? Huyu kaimu mwekiti akiongea wala hamna chembe ya karisma. Naye kaishia kupotosha eti CAG kuitwa bungeni ni sakata la upotevu wa 2.4 Trillioni kasahau ustadhi prof mwenzake alichoongea redio aUNO na kumsababishia usumbufu usio kuwa wa lazima/epukika.
Wako viongozi vijana vipaji vyao vinapotelea CDM. Mnyika na Silonde chukueni hatua haraka Taifa hili linawahitaji huko mliko mnapoteza muda wenu bure.
Enzi zile za CDM DR Slaa na sisi wengine thubutu yake.
Wewe unaijua Katiba kuliko Mbowe?!......... Segerea ameenda kwa bahati mbaya?.... Bwashee mbwiga jitambue bhana!Kasoma katiba ya nchi then ujr ufute hii takataka uliyotuletea hapa
Sent using Jamii Forums mobile app