mistari4G
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 553
- 649
Iko kimtego sanaNchi hii ina wamiliki so wawe makini hawa waliojitwalia sasa hawana utani na mtu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Iko kimtego sanaNchi hii ina wamiliki so wawe makini hawa waliojitwalia sasa hawana utani na mtu kabisa
Hapo sasaTukuulize wewe Johnthebaptist kuwa akina Dr Bashiru na Polepole wanaofanya mikutano nchi nzima, je wao wameruhusiwa??
Je wao ni wabunge wa Chama gani??
Kama wao wameruhusiwa, ni kwanini wazuiwe kufanya mikutano hiyo viongozi wa Chadema pekee??
Kama mbwali na iwe mbwali!
Wewe unaijua Katiba kuliko Mbowe?!......... Segerea ameenda kwa bahati mbaya?.... Bwashee mbwiga jitambue bhana!
Kwa hiyo umejitoa akili na kujisahaulishe yule mwana CCM aliyesema iliyokatazwa ni ya kusomba watu na malori?Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani yeye ndio aliyekataza?!Kwa hiyo umejitoa akili na kujisahaulishe yule mwana CCM aliyesema iliyokatazwa ni ya kusomba watu na malori?
Wewe unavuja nini mkuu?!!
Na hao ccm wanaoendelea kufanya mikutano nchi nzima tunafanyaje?Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Wanafanya na wabunge wa majimbo!Na hao ccm wanaoendelea kufanya mikutano nchi nzima tunafanyaje?
KWa swali hili, cha kwanza unakubali kuwa ametamka....Kwani yeye ndio aliyekataza?!
Mbona pale Iringa viwanja vya mwembetogwa mchungaji Msigwa anafanya sana mikutano!KWa swali hili, cha kwanza unakubali kuwa ametamka....
NA KWENYE KUKUBALI, USISAHAU ANATOKEA CHAMA CHA WALIOKATAZA....
By the way, unapouliza swali kama hilo, usisapoti majibu dabo standadi... Kama imekatazwa, basi na huyo analiyesema hayo anatakiwa akatazwe kufanywa mikutano iliyokatazwa... SIYO WAKITAKA KUFANYA CAHDEMA MUANZE KUULIZA MASWALI YA KIDABOSTANDADI LAKINI WAKIFANYA CCM MNAKAA KIMYA KAMA HAMPO VILE...
Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!
Jimbo la nani?Mbona pale Iringa viwanja vya mwembetogwa mchungaji Msigwa anafanya sana mikutano!
.Pole Pole ni mbunge katibu Mkuu ccm ni mbunge? Kanali Ngemera ni Mbunge? Pinda ni mbunge?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mungu ibariki ChademaTukuulize wewe Johnthebaptist kuwa akina Dr Bashiru na Polepole wanaofanya mikutano nchi nzima, je wao wameruhusiwa??
Je wao ni wabunge wa Chama gani??
Kama wao wameruhusiwa, ni kwanini wazuiwe kufanya mikutano hiyo viongozi wa Chadema pekee??
Kama mbwali na iwe mbwali!
Hiyo inaitwa tishia nyau. lumumba kila kiumbe kina sharubu kama za kambale.
Hiyo ni ruksa kwa ccm tu. Mbona wapinzani walipigwa virungu walipofanya hivyo?Wanafanya na wabunge wa majimbo!
Vipi ile ya Polepole na ya Bashiru? Kumbukumbu zako zinasemaje?Kumbukumbu zangu zinanijulisha kuna katazo la kufanyika kwa mikutano holela ya kisiasa isipokuwa ile tu inayohusisha wabunge katika majimbo yao ya uchaguzi.
Sasa Chadema ambayo haina wabunge nchi nzima imetangaza kufanya mikutano nchini kote, wadau hii imekaaje?
Maendeleo hayana vyama!