Habarini wakuu
Kuna binti nipo kwenye uhusiano nae kwa muda kidogo but simwelewi kabisa .
Kwanza jina lake la ukoo ni massawe ,nahis anatokea machame,hivi kuna mwanamke asiyependa hela? Maana kila nikimpatia hela anakataa but papuchi anaileta kama kawa,
Kwahiyo basi nataka mnijuze kama ukoo wa massawe wanatokea machame,
Pili ,ana lengo gani na mimi kwa sababu jinsi vyuma vilivyokaza bint kukataa hela ni vigumu,nilijaribu kumuuliza kwa nini anakataa akanijibu "basi tu "
Najua humu ndani kuna wanasaikolojia ,
By msukuma ndani ya Soweto moshi
Kweli Binadamu ni kiumbe cha ajabu kisichoridhika.
Huyu Binti angekuomba hela, ungesema wamachame wanapenda hela, sasa hataki hela, unauliza tena kwa nini hapokei, sasa ulitakaka yeye afanyeje?
WEW NI KIUMBE CHA AJABU SANA
Sawa kama namumiliki kwa nini anakataa kugharamiwa?
Massawe ni kibosho na rombo.HAKUNA MCHAGGA WA MACHAME ANAEITWA MASSAWE
Mim Mme wake mtarajiwa,naogopa asije hudumiwa na wengine
Wanaume wanapenda sanaa tunavyowaomba pesa, basi tu wanajichetuaga.Binadamu hatunaga jema...mkiombwa tatizo,mkitoa wakakataa tatizo
Wewe unatakaje?
Wanaume wanapenda sanaa tunavyowaomba pesa, basi tu wanajichetuaga.
Her self ndo umeandika nn hapo!!! mwezi mtukufu huu loooh!!We kama mnapendana sana, jirahid kujua nn anapenda sn, bas mpelekee hicho kama zawad, nakwaid atakupenda mpaka utafirah
Kwan kuna kibaya cha kukukwaza hapo?Her self ndo umeandika nn hapo!!! mwezi mtukufu huu loooh!!
Hilom neno la mwisho,au ulikosea???Kwan kuna kibaya cha kukukwaza hapo?