Kuhusu ukoo wa massawe

Daa kumbe
 
Hahaa usijari
Hyo hela uwe unanipa mimi. Kwakwel sijapata bahati ya kuwahi kupewa hela na bwana wangu.

Sasa msukuma mwenzangu, yeye akikataa nitumie mm
 
Muda wote unawaza siasa?
 
Kuwa makini mkuu huyu anataka kukufanya Msukule.
Mark my words.hahaha
 
''kaoe kwenu'' kwenye mila unazozijua!!! ambako wewe ulizaliwa na ukalelewa kwa mila hizo!!! ambako mgogoro wa kindoa ukitokea utaweza kusuluhishwa kwa mujibu wa mila zenu
 
Kwenye mada Kama hizi ndo utagundua Wantanzania ni watu wa aina gani?

Wazinzi wanapokutana na kumshauri Mzinzi mwenzao......
 
Kwenye mada Kama hizi ndo utagundua Wantanzania ni watu wa aina gani?

Wazinzi wanapokutana na kumshauri Mzinzi mwenzao......
Daa wazinzi tena?
 
Binadamu hatunaga jema...mkiombwa tatizo,mkitoa wakakataa tatizo

Wewe unatakaje?
yaaani wanaume wa kitanzania ni kwimwi[emoji1] [emoji1] [emoji1] unaweza kuta anakuona hali yako we ndo wahitaji huo msaada ndo maana hapokei
 
Massawe wapo wa maeneo tofauti kuna Rombo, Moshi Vijijini, Machame Kibosho sasa muulize huyo wako ni wa maeneo gani? Kisha rudi nikushauri
 
Daa kumbe?lakini mbona anategemea wazazi ,hana kazi
yaaani wanaume wa kitanzania ni kwimwi[emoji1] [emoji1] [emoji1] unaweza kuta anakuona hali yako we ndo wahitaji huo msaada ndo maana hapokei
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…