Msaada: Kuhusu kufanya uhakiki wa ardhi

Commoner

Member
Dec 18, 2023
36
76
Habarini wakuu!

Hivi nawezaje kuhakiki uhalali/umiliki wa ardhi (Surveyed plot yenye registration plan number) pasipo kufika kwenye ofisi husika? Na ni ofisi gani natakiwa kuanza nayo; Manispaa au Wizarani? Kuna mfumo wowote wa kuhakiki mtandaoni?

Thanks in advance..
 
Ila Ujiandae Kuhangaishwa Hao Ni Sehemu Ya Tatizo Hao Jamaa
Huduma Ya Laki Utaambiwa Toa Laki Nne
 
Habarini wakuu!

Hivi nawezaje kuhakiki uhalali/umiliki wa ardhi (Surveyed plot yenye registration plan number) pasipo kufika kwenye ofisi husika? Na ni ofisi gani natakiwa kuanza nayo; Manispaa au Wizarani? Kuna mfumo wowote wa kuhakiki mtandaoni?

Thanks in advance..
Pia uwaga kuna official search unaweza fanya nenda Aidha ofisi za halmashaur au wizarani kabsa utapewa control number ulipie ni elfu arubaini tu
 
Back
Top Bottom