Kuhusu Tamasha La Anti- Virus- Utetezi Wangu

Tunashukuru bwana Majidy kwa coments zako naamini unamchango mkubwa sana katika kuleta mabadiliko katika Taifa hili,basi tunakuomba tusaidie vijana katika kufanikisha harakatika hizo za kupinga any unyonyaji na dhuruma inayofanya na CCM kwa kuringia PESA na MAFISADI,POLISI,wakati sisi tuna Mungu anayetupigania.
 
Mie naona watu wa Anti-Virus ndio walitakiwa wakutumie picha zao za tukio hilo hili uweke kwenye blog yako na kama usingeweka hapo ndio ungepewa lawama kidogo.

Zaidi ya hapo blog ni yako na wewe mwenyewe huko huru kuweka unachotaka.
 
huyo anayelala hajaona picha za mjengwa kwenye blog yake alitegemea nini??

I find blogs being more personal to the blogger and his/her interest kiasi kwamba sielewi kwanini ni lazima kuwakilisha zaidi

samahani kama nimekosea but hata aliyelalama kuhusu mjengwa kuwa na virus angeweza na yeye kuan zisha blog, it is free
 
huyo anayelala hajaona picha za mjengwa kwenye blog yake alitegemea nini??

I find blogs being more personal to the blogger and his/her interest kiasi kwamba sielewi kwanini ni lazima kuwakilisha zaidi

samahani kama nimekosea but hata aliyelalama kuhusu mjengwa kuwa na virus angeweza na yeye kuan zisha blog, it is free

Pole hujui ulisemalo na hujui position ya Maggid mjengwa kama mwandishi wa habari na hujui kwa nini anajiita mwenyekiti wa kijiji. vitu vingine kama huna ufahamu navyo ni afadhali kukaa kimya kuliko kuongea upuuzi kisa una access na internet.
Ni nani aliekuuliza namna ya kuanzisha blog? na wewe kwa nini usianzishe Forum yako? kwani ni lazima utumie JF?
 
Niwahakikishie, kuwa Mjengwablog ni blogu huru. Haijapata kununuliwa na haitakuja kununuliwa kufanya kazi za kishabiki. Na mimi kama mmiliki wa blogu ndivyo nilivyo. Sijapata kununuliwa na sitakuja kununuliwa nimfanyie mtu kazi ya kishabiki na isiyo na maslahi ya kitaifa.


Maggid,
Iringa.
.

Kwa muungwana kuomba msamaha anapohisi amewakwaza wenzake ni jambo la busara, na katika hilo umeeleweka mkuu.

Mimi concern yangu ni hapo kwenye kuwa huru na kutonunulika. Kwa wale tunaokumbuka vizuri mwenendo wa uchaguzi mkuu wa mwaka jana, ulijidhihirisha waziwazi kwamba ulikuwa unatetea maslahi ya upande fulani, hukuwa huru mkuu. Kama ulikuwa huru kwa taarifa zile ulizokuwa ukitoa na kuandika, basi itabidi utufafanulie una maanisha nini unaposema blogu yako iko huru.

Kama siku za hivi karibuni(mara baada ya uchaguzi mkuu 2010) umebadilika kutoka upande ule na sasa unajisimamia mwenyewe, na umekuwa huru na blogu yako imekuwa huru, ninaweza kukuelewa kwakuwa sijafika kwenye blogu yako siku nyingi sana.
 
Sio lazima wewe upige picha,,unaweza kukopi au kuweka link afu ukam-aknowledge sosi wa habari.
 
Mie naona watu wa Anti-Virus ndio walitakiwa wakutumie picha zao za tukio hilo hili uweke kwenye blog yako na kama usingeweka hapo ndio ungepewa lawama kidogo.

Zaidi ya hapo blog ni yako na wewe mwenyewe huko huru kuweka unachotaka.
Ingawa una access na internet lakini bado unaishi zama za mawe, wewe bado upo enzi za sanduku la posta na c/o!
Humu kumbe kuna majitu mazembe kweli ya kufikiri, hivi ingekuwa kila mtu apige picha mwenyewe wewe kuna hata picha ungeweza kuziona humu? nini maana ya copy & paste? kujifanya mnajuwa kumbe hamna lolote mnalojuwa, bloggers wote wana sehemu yao online ya kupata picha za matukio wanayoyataka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom