mdudu
JF-Expert Member
- Feb 6, 2014
- 7,029
- 10,025
Na tuombe tuzidi kuwepo iliw tuone mengi zaidi.kuishi kwingi kuona mengi wazee
Na tuombe tuzidi kuwepo iliw tuone mengi zaidi.kuishi kwingi kuona mengi wazee
naumia kuona Rais anabebeshwa maneno ambayo si sahihi!!
Mwenye matatizo mi Rais. Wssaidizi/washauri wameteuliwa na Rais kama kateua hovyo na ushauri utakuwa wa hovyo hivyo "GIGO" pia washauri kazi yao kushauri ni jukumu la anaepokea ushauri kuuukubali ushauri mzuri na kuukataa ushauri mbaya. Asisingizie washauri/wasaidizi wa hovyo ni yeye.Hapana, raisi yuko sahihi, mimi nalia na wasaidizi na washauri waliokubali kupima vitu ambavyi ni irrelevant, kuna siku niataenda kupima mkojo nikutwe na mimba!!!!
Hahahaha hapana aiseeee, kwanini??Siku hizi unaandika korwani, kinyumenyume.
Naheshimu mawazo, mtizamo, msimamo na maoni yako but I am sure the guy is very smart anajua procedure zote, please kumbuka ni MTU wa ChemistryMwenye matatizo mi Rais. Wssaidizi/washauri wameteuliwa na Rais kama kateua hovyo na ushauri utakuwa wa hovyo hivyo "GIGO" pia washauri kazi yao kushauri ni jukumu la anaepokea ushauri kuuukubali ushauri mzuri na kuukataa ushauri mbaya. Asisingizie washauri/wasaidizi wa hovyo ni yeye.
Alishaisahau tangu mwaka 1995 alipochaguliwa ubungeNaheshimu mawazo, mtizamo, msimamo na maoni yako but I am sure the guy is very smart anajua procedure zote, please kumbuka ni MTU wa Chemistry
Sio kweli hawezi kusahauAlishaisahau tangu mwaka 1995 alipochaguliwa ubunge
Its more than 25 yrs ago he hasn't seen a chemical formulae, he forgot believe me.Sio kweli hawezi kusahau
Mkuu wewe kichwani huna kitu.Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.
Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!
Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Hahahaha hapana aiseeee, kwanini??
Ujuaji mwiingi mbwa wa ufipaHii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.
Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!
Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
hivi kwanza mpaka aliamua kufanya hivyo alilenga nini ?Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.
Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!
Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Sampuli zilipewa majina ya binadamuWataalam kwanini wakubali ku feed wrong information
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana, raisi yuko sahihi, mimi nalia na wasaidizi na washauri waliokubali kupima vitu ambavyi ni irrelevant, kuna siku niataenda kupima mkojo nikutwe na mimba!!!!
hahahahahha usipanic mm nimeshaichoka hii dunia yetu ya tanzania.Unaona mmenda kuitana kama sio kuamshana. Shukrani sana
HawakujuaWataalam kwanini wakubali ku feed wrong information