Kuhusu Sample, Mheshimiwa alitumia Formula ya GIGO

Kuhusu Sample, Mheshimiwa alitumia Formula ya GIGO

Kitaalamu hakuna hii kitu,ndio maana na yeye anakomalia kwamba siasa inatumia,maana mkienda hvivi anawaleta huku halafu nyie mnarudi palepale,yani kweli upeleke damu ya kuku,daktari aipime aseme Una ukimwi,kweli.
Kama ni hivyo majasusi wangekuwa wana feli sana.
Tatizo letu watanzania huwa tuna haraka na mihemko ya kudeal na matatizo yetu,kweli upime DNA ya nyani halafu itoe matoke ya nyangumi aaaaah GIGO,GIGO bwana.
Tusipojifunza jinsi ya kutumia saikolojia tutateswa sana,hebu tubadilike kidogo,tusiende kwa sababu tumepelekwa upande fulani,unajua siasa ni kama mchezo wa karate,mwenzako akirusha ngumi siyo lazima kuzuia kwa mkono,zuia kwa teke
kipimo cha corona kinapima RNA ya virus siyo ya kiumbe host so hata ukipeleka udongo ambao ni contaminated na virus ukipimwa virus ataonekana
 
Mimi sijaelewa mpaka sasa mechanism iliyotumika.
Kama alitaka kupima kuwa icho kifaa ni kibovu au wanadanya majibu ilibidi kutuma sample moja ileile kwenye vipimo kibao apo then aangalie majibu kama yote ni sawa basi hakuna shida au majibu yakiwa tofauti basi ndo aje aseme vipimo vina shida.

Sasa wameenda kupima sijui mapapai alafu wanaconclude vipimo ni vya uongo haoni kama kaleta tena variables mpya mezani ambazo zinawea leta maswali mapya


Sent using Jamii Forums mobile app
hii shida ya vipimo iliripotiwa ht ulaya hasa kwa baadhi ya vipimo toka china so wakaacha wakaendelea tumia vile vilivyokuwa sawa sisi naona tumekuja na explanation yetu
 
kipimo cha corona kinapima RNA ya virus siyo ya kiumbe host so hata ukipeleka udongo ambao ni contaminated na virus ukipimwa virus ataonekana
Nani aliruhusu? Nasimama na Raisi kwenye hili. Haiwezekani waruhusu kitu kama hiki kitoke publicly. No
 
Hivi ana uhakika gani baadhi ya sample zake kutoka serikalini hazikuwa contaminated? Je walituma sample feki kiasi gani na kutoka vyanzo vingapi tofauti ili kupata randomness ya samples?
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Kuna kimaabala kimoja mtaani kwetu tumewahi wafanyia hivyo. Mana ni Maabala na wanauza dawa hapo hapo, sasa ilikuwa ukienda kupima pale hata kama ushapima sehem nyingine na umeonekana huna tatizo lazima ugundulike una ugonjwa ili ununue dawa.

Ko ile hali ikatupa mashaka ikabidi tufanye alicho kifanya Magu. Sisi tulichukua chai yenye majani ya chai(huwa inafanana na mkojo) tukaweka kwenye vidude walivyotupa vyakuchukulia sampuli, majibu kuja hivi eti ile Chai ina U.T.I. toka apo sijarudi tena ile Maabala.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mbona kama kuna msaga maindi kaletewa kokoto akazitia kwenye kinu akitegemea utoke unga wa sembe.
km umeleta sample ya petroli ambayo iko contaminated na corona virus basi majibu yatakua positive, sasa huwez sema hapa umefeed wrong information, kazi ya kipimo ni kudetect virus haijalishi sample ni ya binadamu au mboga za majani la msingi corona awepo, labda km unapima antibody
 
Hivi ana uhakika gani baadhi ya sample zake kutoka serikalini hazikuwa contaminated? Je walituma sample feki kiasi gani na kutoka vyanzo vingapi tofauti ili kupata randomness ya samples?
Ndio maana nasisitiza kuwa hili jambo lina walakini, ñani alimuaminisha rais wetu hivyo!!
 
Kuna kimaabala kimoja mtaani kwetu tumewahi wafanyia hivyo. Mana ni Maabala na wanauza dawa hapo hapo, sasa ilikuwa ukienda kupima pale hata kama ushapima sehem nyingine na umeonekana huna tatizo lazima ugundulike una ugonjwa ili ununue dawa. Ko ile hali ikatupa mashaka ikabidi tufanye alicho kifanya Magu. Sisi tulichukua chai yenye majani ya chai(huwa inafanana na mkojo) tukaweka kwenye vidude walivyotupa vyakuchukulia sampuli, majibu kuja hivi eti ile Chai ina U.T.I. toka apo sijarudi tena ile Maabala.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilishapima Malaria pale Mabibo Makutano miaka mitano hivi nikiwa Dar kabla kuhama, nikaja kuambiwa Nina KASWENDE!! Nilichoka, halafu Dr amelewa kinyama. Mwaka Jana nimepita pamefungwa na serikali
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida

sasa wewe ndo takataka la kwanza na la mwisho
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
naona unaendeleza GIGO na ww

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom