Kuhusu Sample, Mheshimiwa alitumia Formula ya GIGO

Kuhusu Sample, Mheshimiwa alitumia Formula ya GIGO

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
61,367
Reaction score
100,408
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida. Unakua na hypothesis na hukubali hio hypothesis unataka uilazimishe iwe ukweli.
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Ji


kijana pole sana, hujitambui kabisa
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Nimeipenda GIGO formular,,.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida

Kivip sisi tuna shida? Wafanyakazi au watawala au watoa sample?
 
Hahahaa Mpwa sijalaumu mtu, nimesema tunashida, sasa chagua shida rahisi ni ipi katyi ya hizo tatu

Labda morali iko chini. Labda kazi za mazoea. Siamini sample ndio zina shida. Siwezi kujua sana mambo ya hizo machine za kupima. In fact, suala la kufanya kazi kwa integrity ni muhimu sana. Kwenye issues kama hizi ndio pekee litamsamilisha yoyote anayetiliwa shaka
 
Mimi sijaelewa mpaka sasa mechanism iliyotumika.
Kama alitaka kupima kuwa icho kifaa ni kibovu au wanadanya majibu ilibidi kutuma sample moja ileile kwenye vipimo kibao apo then aangalie majibu kama yote ni sawa basi hakuna shida au majibu yakiwa tofauti basi ndo aje aseme vipimo vina shida.

Sasa wameenda kupima sijui mapapai alafu wanaconclude vipimo ni vya uongo haoni kama kaleta tena variables mpya mezani ambazo zinawea leta maswali mapya


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Kitaalamu hakuna hii kitu,ndio maana na yeye anakomalia kwamba siasa inatumia,maana mkienda hvivi anawaleta huku halafu nyie mnarudi palepale,yani kweli upeleke damu ya kuku,daktari aipime aseme Una ukimwi,kweli.
Kama ni hivyo majasusi wangekuwa wana feli sana.
Tatizo letu watanzania huwa tuna haraka na mihemko ya kudeal na matatizo yetu,kweli upime DNA ya nyani halafu itoe matoke ya nyangumi aaaaah GIGO,GIGO bwana.
Tusipojifunza jinsi ya kutumia saikolojia tutateswa sana,hebu tubadilike kidogo,tusiende kwa sababu tumepelekwa upande fulani,unajua siasa ni kama mchezo wa karate,mwenzako akirusha ngumi siyo lazima kuzuia kwa mkono,zuia kwa teke
 
Mimi sijaelewa mpaka sasa mechanism iliyotumika.
Kama alitaka kupima kuwa icho kifaa ni kibovu au wanadanya majibu ilibidi kutuma sample moja ileile kwenye vipimo kibao apo then aangalie majibu kama yote ni sawa basi hakuna shida au majibu yakiwa tofauti basi ndo aje aseme vipimo vina shida.

Sasa wameenda kupima sijui mapapai alafu wanaconclude vipimo ni vya uongo haoni kama kaleta tena variables mpya mezani ambazo zinawea leta maswali mapya


Sent using Jamii Forums mobile app
Raisi yuko sahihi inategemea washauri wake walimshaurije, Nina uhakika aliongea kutokana na ushauri wa watu wake.
 
Hii kitu nimesoma kwenye mitandao watu wametucheka sana, Mzee ametumia formula au msemo umaoitwa GIGO. Hii inasomeka hivyo hivyo kwahio wale mburula wa Lumumba FC wasihangaike kutafuta Kamusi.

Kirefu chake ni Gabbage In Gabbage Out yaani uki-feed wrong information utapata wrong output. Kwahio There is no way wangepata majibu sahihi, never!

Mashine za watu wala hazina matatizxo wala wataalamu hawana shida, sisi ndio wenye shida
Niliandika mahali, ukiwachezea wenzako ukidhani hawajui nao watakuchezea bila nawe kujua"


Hakuwa na guts za kubwabwaja bila uchunguzi wa kina
 
Back
Top Bottom