Kuhusu Samia akaunti tuliyowekeza CRDB

Kuhusu Samia akaunti tuliyowekeza CRDB

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
1,289
Reaction score
2,190
Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu.

Jana nimeenda kuangalia salio langu kama kweli wameniwekea hiyo asilimia 30 ya fedha yangu niliyowekeza lakini sijaona nyongeza yeyote.

Kulikoni?.
 
Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu. Jana nimeenda kuangalia salio langu kama kweli wameniwekea hiyo asilimia 30 ya fedha yangu niliyowekeza lakini sijaona nyongeza yeyote. Kulikoni?.
MLIOWEKEZA KWENYE SAMIA BOND ….NI SANAAAA ….
UJENGEEE BARABARA SAMIA BOND ….. WAKATI FEDHA ZA MAFUTA CAG KASEMA HAZIKUPELEKWA ZIMEISHIA KWA MWIGULU ….HIZO FEDHA ZA KULIPIA HIZO WATAZITOA WAPI ?
 
Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu.

Jana nimeenda kuangalia salio langu kama kweli wameniwekea hiyo asilimia 30 ya fedha yangu niliyowekeza lakini sijaona nyongeza yeyote.

Kulikoni?.
Fedha zote za BOND zimepelekwa TARURA kwa Mkwe ambaye ni Waziri. Hakuna kazi ya musing zitafanya zaidi ya kuchimba barabara za udongo. Nyingine zimetumika kucjinja ng'ombe zaidi ya 200 wakati wa msiba wa baba wa mkwe. Msimba umefanyika, DAR, ZANZIBAR na PWANI. Tanzania is on the slope becoming Zimbabwe shortly.
 
Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu.

Jana nimeenda kuangalia salio langu kama kweli wameniwekea hiyo asilimia 30 ya fedha yangu niliyowekeza lakini sijaona nyongeza yeyote.

Kulikoni?.
Ina maana uliamini ulichoambiwa? Mtaacha lini kutapeliwa kirahisi?
 
Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu.

Jana nimeenda kuangalia salio langu kama kweli wameniwekea hiyo asilimia 30 ya fedha yangu niliyowekeza lakini sijaona nyongeza yeyote.

Kulikoni?.
Mzee si uwa tag wahusika wa benki na wapambe wao... sisi tulishafunzwa na wazee wetu hakuna mtu ata kukuzia hela isipokuwa wewe mwenyewe na akili zako full stop.
 
Niliwekeza kwenye Samia Account kupitia CRDB na masharti yalikuwa ni kupata asilimia 30 kila baada ya miezi mitatu.
Mosi, habari za 30% sio kweli, na sijui umezipata wapi au inawezekana hata hizo bonds zenyewe hukununua, na kama ulinunua basi ulikurupuka bila kufanya utafiti! Pili, hata common sense inakataa! Yaani upate 30% kila baada ya miezi 3?! Ulisikia wapi mambo kama hayo?! Hivi unajua maelezo yako ni sawa na kusema aliyenunua bonds za Sh 100M, kila baada ya miezi 3 atapata Sh 33M; au 132M kwa mwaka! Kwa kiwango kama hicho Mabosi wa TAURA na CRDB si wangeuza hadi nyumba wanazoishi na za ndugu zao ili wapate pesa za kununua hizo bonds kiasi kwamba outsiders wala msingeambulia kitu!!
 
Samahani kwa sahihisho. Ilikuwa tupate asilimia 13 na siyo 30 lakini mpaka sasa mbona hatujazipata?.
 
Mimi fedha zangu nilizitoa kupitia CRDB wasiponilipa asilimia zangu 13 nitawapeleka CRDB Mahakamani. Wenyewe ndo walinishawishi. Kwenye hela hakuna cha urafiki.
 
Back
Top Bottom