mama kubwa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,411
- 8,394
hata balali tuliomba arudi salama hakurudi hii ya maccm ni zaidi ya siasa
Tz kila kitu kinawezekana,hata hao wakiuwawa leo hamna chochote kitakachotokea zaidi ya kusononeka na kulaumu,watz kama vile tumelaaniwa.Kuna mambo mengi ya kuufanya tu riot lakini tupo tv tunatumbua macho,uoga kibao...Jitu kama katiba mpya hakikuwa ni kitu cha kuhachia govt ipumue,na huo ni mfano mdogo.Watz ni wepesi kughilibika,nirahi7i ukawatoa kwenye jambo lolote la msingi kwa kitu ambacho hakina hata mashiko na wote wakaelekea huko,hii viongozi wetu wanajua kuitumia.Hebu tuwe serious japo kidogo.Vinginevyo hatuna chetu bongo hii.Hata kama alificha baadhi ya ukweli kuhusu richmond, hastahili adhabu ya kifo hiki cha umafia.
Tunatangaza ole kwa kifo chake.
Ole Ole Ole.
Ole kwa kumuua huyu. Ole kwa kumuua Dr. Slaa.
Ole kwa kumuua MWANDOSYA. Nchi haitakalika hii.
Mafisadi wanaleta ya Rwanda. Hapa itakuwa matajiri vs masikini
Ooooh,,,,halafu hii barua uchunguz wake umeshaisha au??????
"suala la msingi hapa, si uhai wangu, kwani iko siku lazima nitakufa kama ambavyo hao mafisadi wanaodhani wanaweza kufadhili vifo vya wenzao watakavyokufa hata wao hatimaye, watake wasitake, hakika ni suala la muda tu."
Tunamuombea apone haraka, Magufuli atakuwa anatujuza kuhusu maendeleo ya afya ya mpigania haki.
Harakati ndivyo zilivyo hata wakimuua mwakyembe sio mwisho wa mapambano mbona hata huku kwetu walimuua chacha wangwe akipinga uchaga ndani ya chama na sasa ameibuka mpambanaji mwingine shibuda anaepinga uchama kampuni ya mbowe na kutaka chama kiwe taasisi japo wanamwita msaliti ili kupotosa umma.
Mwakyembe ni Mnafiki na malaya wa kisiasa, hana tofauti na Samwel Sita!
Hii habari si mpya ilishawahi kutolewa hapa jamvin lakin hata hivyo tunashukuru kwa kutukumbusha naamini ugonjwa wake hautofautiani na habari hii, hii inamaana jeshi la polisi halikufanyia kazi tuhuma hizi na wala halikumpa ulinzi unaostahili na ndo maana hali hii imemkuta. Kwa ugonjwa unaotajwa kwa kawaida mtu angalau huwa anakuwa na historia ya kupata allergy ya mtindo huo, coz source zote zinaonyesha ana exfolative dermititis kulingana na visababishi toka utotoni hadi sasa lazima angesema anahx ya allergy kama imemkuja ghafla basi yawezekana kabisa inauhusiano na hii scenario. Lakin hakuna siri chini ya jua tutajua tu. Mungu umjalie afya njema Dr Mwakyembe na Prof. Mwandosya wapone haraka waje tulijenge Taifa.
Inaonekana ni ukristu zidi ya Uislamu maana kati ya walengwa sioni akina Zito na waislamu wengine ambao huwa mwiba kwa serikali inapovurunda.
Sasa nimeanza kumkumbuka Mwalimu juu ya udini na ile speech yake