Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,207
Vpi kuhusu radi na simu za Viganjani? Hakuna effect je tunaweza kutumia kipindi cha mvua pasipo kuzima?
Ukiongeza na nguo nyekundu ndio hatari mara 200
OTIS
Me kuna ndugu yangu tumemzika juzi tu pale dodoma alipigwa na radi akiwa anatumia sim ya mkononi..mkipinga kuwa hakuna uhusiano basi kifo chake kitakuwa kuna mkono wa mtu maana haiwezekani