Tahadhari za kuchukua wakati wa mvua za radi

Nyamesocho

JF-Expert Member
May 5, 2023
477
1,244
Kuna kitu hiki kinachoitwa radi ni hatari sana na husababisha madhara Kama vifo kwa binadamu na wanyama

Tuchukue tahadhari gani wakati mvua za radi zinanyesha au zinaelekea kunyesha tukiwa majumbani na tukiwa nje kwenye shughuli zingine?

Wapo wanaosema zima simu wakati mvua inanyesha au epuka kuchati au kuongea na simu wakati mvua za radi zinanyesha

Wengine wanasema zima Tv na radio wakati mvua inanyesha na usikae karibu na socket ya umeme

Wapo wanaosema zima umeme kwenye nyumba yako

Je earth wire ni waya inayowekwa kwenye mfumo wa umeme kwenye nyumba ili kuzuia radi , je usanifu wake ni asilimia ?

Vipi wewe unasemaje kuhusu kujikinga na radi wakati wa mvua?
1707037998313.jpg
 
Leo ndio nasikia huo waya kazi yake ni kuzuia radi. Mimi najua waya wa earth kazi yake ni kuchukua umeme unaozidi na kuupeleka ardhini usisababishe madhara. Fundi wa umeme ndio aliniambia
Mwenzetu kipindi tunafundishwa physics wewe ulikua una lamba ubuyu 😂😂😂😂😂😂


Heri leo umejua
 
Leo ndio nasikia huo waya kazi yake ni kuzuia radi. Mimi najua waya wa earth kazi yake ni kuchukua umeme unaozidi na kuupeleka ardhini usisababishe madhara. Fundi wa umeme ndio aliniambia
Earth wire aliyokuambia ni sahihi kabisa. Ni wire ambao umeme ukizidi unapelekwa ardhini ili kuepusha madhara.

Lighting rod ndiyo inayotumiwa kufyonza radi.
 
Leo ndio nasikia huo waya kazi yake ni kuzuia radi. Mimi najua waya wa earth kazi yake ni kuchukua umeme unaozidi na kuupeleka ardhini usisababishe madhara. Fundi wa umeme ndio aliniambia
Mmmmh
 
Ila kwanini radi ya mchana inaogopesha kuliko ya usiku?
It's due to atomic structures bcoz of daylight manoeuvre reigniting and enforcing major molecules magnitude photosynthesis that's rarely happening during the night due to the haemoglobin nature in the darkness.

Magonjwa de Mtambuka Magonjwa Mtambuka
 
Back
Top Bottom