Heparin
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 128
- 420
Aidha, ikiwa utakuwa kwenye eneo la wazi wakati radi inapiga, unashauriwa kuchuchumaa chini na kuweka kichwa chini ya magoti ili kupunguza kimo, kwani umem wa radi huathiri kwanza vitu virefu.
Ameshauri pia watu kutokukaa kwenye miti, kuzima simu wakati wa radi kwa kuwa hutumia mionzi inayoweza kuungana na kuleta shida kama kutetemeka kwa mwili.
Soma: UZUSHI - Kuvaa nguo nyekundu kunasababisha kupigwa na radi