Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 61,179
- 124,840
Sawa
Tulia basi dada.
Tulia basi dada.
Usofia in London ya Nkem Owo ndo maanaHuku Kalemii na Kivu Batu ya huku inaita "Osuofia"
Ni mazuri lakini wala si imara kabisa ni mepesi kuchanika sana hasa haya ya siku hizi mengi mabovu ila yale ya zamani yalikuwa magumu sanaIla ni mazuri kwani yana nafasi ya kutosha, mazaga mazaga kama yote unapakia
Miaka ya 90 Waghana wengi walihamia Nigeria kutafuta rizki. Kulitokea mgongano wa kidiplomasia kati ya nchi zao hivyo Waghana ilibidi wadudu kwao. Kitendo hiki kilikuja ghafla hivyo wengi walibeba mizigo yao katika mabegi haya. Yalipewa jina “Ghana must go”.