Unashangaa nini wakati amekwambia ni Msukuma?Breakface????? inaonekana wasukuma wanaonwa washamba n watu washamba zaidi yao
Unashangaa nini wakati amekwambia ni Msukuma?Breakface????? inaonekana wasukuma wanaonwa washamba n watu washamba zaidi yao
Mkileta ukorofi nitakwenda kuwapiga shangazi zenu.Habari zenu wakuu.
Kuna mifuko fulani mikubwa inafanana na viroba vile vya kuhifadhia unga wa mahindi ila yenyewe inakuwa na rangi na michoro au picha kutia nakshi na urembo; maarufu SHANGAZI KAJA.
Nimekaa nikatafakari, ina maana shangazi zetu wanapotoka vijijini kuja mjini ndo hubeba humo nguo zao? Kwa hiyo ukiliona tu ndani fuko hilo kubwa unajua leo SHANGAZI KAJA.
Yaani shangazi, dada yake baba. Mtu wa heshima kabisa. Amedhalilika kabisa kiasi mfuko wake wa kubebea mazaga tumeupa jina hilo. Maskini shangazi.
Asee dada huko kijijini, ukitaka kuja mjini usiniombe nauli tu. Omba na pesa ununue bag zuri ili ukija uweke heshima. Hii itawafanya wapwa zako (wanangu) wakose cha kusema.
Au kuna sababu zingine za jina hilo. Kwanini shangazi kaja?
View attachment 1202793
Breakface ndio ninihuku kwetu tunayaita breakface za wasukuma.
😂😂 sasa hapa mshamba ni nani?Kama huamini Nenda pale Tazara dasalamu uone wasukuma na Waha kutoka kigoma
Kule Kanda ya Ziwa mikoa ya Mwanza, Mara, Geita mifuko hii huitwa ASANTE UKEREWE.Habari zenu wakuu.
Kuna mifuko fulani mikubwa inafanana na viroba vile vya kuhifadhia unga wa mahindi ila yenyewe inakuwa na rangi na michoro au picha kutia nakshi na urembo; maarufu SHANGAZI KAJA.
Nimekaa nikatafakari, ina maana shangazi zetu wanapotoka vijijini kuja mjini ndo hubeba humo nguo zao? Kwa hiyo ukiliona tu ndani fuko hilo kubwa unajua leo SHANGAZI KAJA.
Yaani shangazi, dada yake baba. Mtu wa heshima kabisa. Amedhalilika kabisa kiasi mfuko wake wa kubebea mazaga tumeupa jina hilo. Maskini shangazi.
Asee dada huko kijijini, ukitaka kuja mjini usiniombe nauli tu. Omba na pesa ununue bag zuri ili ukija uweke heshima. Hii itawafanya wapwa zako (wanangu) wakose cha kusema.
Au kuna sababu zingine za jina hilo. Kwanini shangazi kaja?
View attachment 1202793
kwa kweli maana uliligusa kelele kama za kiwandaYanaitwa ..... Shangazi una kelele
Ukiwa muongo uwe basi unafahamu unachokiongea.. lini watu wa kigoma wakashukia Tazara?Kama huamini Nenda pale Tazara dasalamu uone wasukuma na Waha kutoka kigoma
[emoji23][emoji23]watu wa kigoma wamenijia juuUkiwa muongo uwe basi unafahamu unachokiongea.. lini watu wa kigoma wakashukia Tazara?
Wanatumia reli ya TAZARA kuja Dar!!!!Kama huamini Nenda pale Tazara dasalamu uone wasukuma na Waha kutoka kigoma
Wee ndio unaonekana wa kuja mjini maana hata vituo huvijui. Endeleeni kuwasema vibaya ila those smart and Hustlers peoples wanazidi kuchana mawimbi kwa juhudi zao binafsi[emoji23][emoji23]watu wa kigoma wamenijia juu
Hakika mi mwenyewe naona mmechana mawimbiWee ndio unaonekana wa kuja mjini maana hata vituo huvijui. Endeleeni kuwasema vibaya ila those smart and Hustlers peoples wanazidi kuchana mawimbi kwa juhudi zao binafsi
[emoji23][emoji23][emoji23]niliingia chaka nilichanganya na TAZARAReli ya Kigoma inaishia station sio TAZARA . Kuna wa Tz bado hamjui jiografia ya nchi hii?