MKUYENGE
JF-Expert Member
- Jun 26, 2019
- 4,106
- 4,619
hasa wafuasi wa CCMHiyo mifuko inatumiwa sana na Wajomba wa Kisukuma
hasa wafuasi wa CCMHiyo mifuko inatumiwa sana na Wajomba wa Kisukuma
Reli ya Tazara haiishii stesheni! Nawe hauna tofauti na huyo asiyejua reli ya Kigoma ni ipi.Reli ya Kigoma inaishia station sio TAZARA . Kuna wa Tz bado hamjui jiografia ya nchi hii?
Sana tu
Una hata idea kuwa Reli ya Tazara inaelekea wapi kweli?Kama huamini Nenda pale Tazara dasalamu uone wasukuma na Waha kutoka kigoma
Sisi kwetu yanaitwa Tukuyu kyela na jina hili lilikuja ukibeba hilo bag ukafika stand makonda wanakwambia wewe lazima unaenda Tukuyu au kyelaHabari zenu wakuu.
Kuna mifuko fulani mikubwa inafanana na viroba vile vya kuhifadhia unga wa mahindi ila yenyewe inakuwa na rangi na michoro au picha kutia nakshi na urembo; maarufu SHANGAZI KAJA.
Nimekaa nikatafakari, ina maana shangazi zetu wanapotoka vijijini kuja mjini ndo hubeba humo nguo zao? Kwa hiyo ukiliona tu ndani fuko hilo kubwa unajua leo SHANGAZI KAJA.
Yaani shangazi, dada yake baba. Mtu wa heshima kabisa. Amedhalilika kabisa kiasi mfuko wake wa kubebea mazaga tumeupa jina hilo. Maskini shangazi.
Asee dada huko kijijini, ukitaka kuja mjini usiniombe nauli tu. Omba na pesa ununue bag zuri ili ukija uweke heshima. Hii itawafanya wapwa zako (wanangu) wakose cha kusema.
Au kuna sababu zingine za jina hilo. Kwanini shangazi kaja?
View attachment 1202793
sio uongo kina shangazi mna wivu na wake wa kaka zenuAkina shangazi mara nyingi hatupendwi na hatukaribishwi vizuri kwenye nyumba za kaka zetu, tukiienda tunaonekana kero ndio maana mimi siendagi kwa bro
[emoji12][emoji12][emoji23][emoji23] eti Shangazi Khantwe ni ya kweli hayo kuwa Wivu huwa unawasumbua??sio uongo kina shangazi mna wivu na wake wa kaka zenu
Pyeee nimuonee wivu wifi kwa lipi? After all hapa tunaongelea shangazi kaja na sio wifi kajasio uongo kina shangazi mna wivu na wake wa kaka zenu
Huyo ni yeye sio mimi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23] eti Shangazi Khantwe ni ya kweli hayo kuwa Wivu huwa unawasumbua??
Mungu Ibariki Tanzania[emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Gairo
Mungu Ibariki Morogoro
Wewe ukifika nyumbani kuna mtu anasema mume wangu karudi, kuna mtu anasema baba karudi, mwingine bro karudi n.k, the feeling is the same? Jibu ni hapana. Kuhusu kuwapenda mimi wifi zangu nawapenda labda tuwaulize wasiowapendaWifa kaja, dada kaja, shangazi kaja inategemea ni nani anayesema?
Ila nyie wakina dada hamuwapendi wifi zenu. Kwanini?
Nyinyi si ndio wale mkiwa mnapewa mavitu na waume zenu mnaita mahaba. Sisi tukiwapa wake zetu (wifi zenu) ooh limbwata...kaka kakamatwa....oooh mwanamke anamchuna bro...eeeh maneno kibao.Wewe ukifika nyumbani kuna mtu anasema mume wangu karudi, kuna mtu anasema baba karudi, mwingine bro karudi n.k, the feeling is the same? Jibu ni hapana. Kuhusu kuwapenda mimi wifi zangu nawapenda labda tuwaulize wasiowapenda
Mkuu mbona maneno yanakutoka hivyo, au hujaelewa huo mfano?Nyinyi si ndio wale mkiwa mnapewa mavitu na waume zenu mnaita mahaba. Sisi tukiwapa wake zetu (wifi zenu) ooh limbwata...kaka kakamatwa....oooh mwanamke anamchuna bro...eeeh maneno kibao.
Tazara...wanakuja na treni ya Tazara?Kama huamini Nenda pale Tazara dasalamu uone wasukuma na Waha kutoka kigoma