KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

Namlipa kila mwezi,nasubili atakayekuwa tiyari pm
Ukipata zaidi ya mmoja. Wengine waelekeze waje kwangu.

Nimeshaanda yafuatayo.
1. Free visa ya Uk
2. Free meals and accomodation for four years.
3. Free air tickets
4. Social security fund kwa mama na mtoto.
5. UK Residence permit ya miaka 5

Resposibility za mwanamke.
Kuzaa watoto wasiozidi wa wawili ndani ya miaka miwili.
Namlipa kila mwezi,nasubili atakayekuwa tiyari pm
NB
ukipata zaidi ya mmoja.
 
Atakaekubali kuzaa na wewe ni fafafa
Hah hapana hiyo kitu sio ngeni mbona,mimi baba yangu mdogo fulani anatumia hiyo njia sio mzee ni kijana tu wa makamo ila anatumia hiyo njia kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake.
Mtoto wake wa kwanza alizaa kimkataba kwa makubaliano ya kumjengea nyumba mama wa mtoto, amemfungulia biashara na miradi yake ya kimaendeleo kwa ajili ya kulea mtoto na sasahivi mtoto anamiaka mitano

Vivyo hivyo mtoto wake wa pili kwa mwanamke mwingine amefanya kama alivyofanya hapo juu mtoto ana mwaka mmoja sasa, kwahiyo ni ishu za makubaliano tu mbona sio jambo geni sana sema kwa watu waelewa ndo wanaelewa
 
zeshchriss taja tu sio kwamba namlipa hapana siwezi kumlipa ila lazima nimjali maisha kwa kipindi hicho sema tu kama kiasi gani
Niseme Kwani me nataka kugeuzwa incubator boss???? Hahahahhahahahaha mi siwezi kuzaa kwa mtindo huo mzee baba
 
Hah hapana hiyo kitu sio ngeni mbona,mimi baba yangu mdogo fulani anatumia hiyo njia sio mzee ni kijana tu wa makamo ila anatumia hiyo njia kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake.
Mtoto wake wa kwanza alizaa kimkataba kwa makubaliano ya kumjengea nyumba mama wa mtoto, amemfungulia biashara na miradi yake ya kimaendeleo kwa ajili ya kulea mtoto na sasahivi mtoto anamiaka mitano

Vivyo hivyo mtoto wake wa pili kwa mwanamke mwingine amefanya kama alivyofanya hapo juu mtoto ana mwaka mmoja sasa, kwahiyo ni ishu za makubaliano tu mbona sio jambo geni sana sema kwa watu waelewa ndo wanaelewa
watu wanachukulia poa mkuu,ni ishu ya kawaida sana tukielewana
 
Hah hapana hiyo kitu sio ngeni mbona,mimi baba yangu mdogo fulani anatumia hiyo njia sio mzee ni kijana tu wa makamo ila anatumia hiyo njia kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wake.
Mtoto wake wa kwanza alizaa kimkataba kwa makubaliano ya kumjengea nyumba mama wa mtoto, amemfungulia biashara na miradi yake ya kimaendeleo kwa ajili ya kulea mtoto na sasahivi mtoto anamiaka mitano

Vivyo hivyo mtoto wake wa pili kwa mwanamke mwingine amefanya kama alivyofanya hapo juu mtoto ana mwaka mmoja sasa, kwahiyo ni ishu za makubaliano tu mbona sio jambo geni sana sema kwa watu waelewa ndo wanaelewa
Wana moyo hao wanawake mi siwezi..... Nishakataaga hiyo ofa ya hovyo
 
Wanadhani kubeba mimba Sawa na kwenda dukani kununua mchele kuleta home....
Kwani baada ya miaka miwili kumchukua mtoto inaondoa ukweli kwamba yule ni mtoto wako? mbona tunachukulia hili suala kama haliwezekan wakati mtoto ni wetu sote
 
ukienda kuolewa utakuwa umeenda ku bet kifo?
Nikiolewa means niko na mume ndani, anaona magumu ninayopitia na anayahisi. Ananitia moyo ,anajali tukipata mtoto ni wetu sote na mimi ninamamlaka kama mzazi, sio nahangaika peke yangu kisa nimepewa laki halafu bado nizae mtoto achukuliwe nikitaka kumuona nipewe masharti.
 
Nikiolewa means niko na mume ndani, anaona magumu ninayopitia na anayahisi. Ananitia moyo ,anajali tukipata mtoto ni wetu sote na mimi ninamamlaka kama mzazi, sio nahangaika peke yangu kisa nimepewa laki halafu bado nizae mtoto achukuliwe nikitaka kumuona nipewe masharti.
charrote hapo sasa nimekuelewa vizuri sana.
 
Kwani baada ya miaka miwili kumchukua mtoto inaondoa ukweli kwamba yule ni mtoto wako? mbona tunachukulia hili suala kama haliwezekan wakati mtoto ni wetu sote
Eeeh unaujua uchungu???
 
Kwani baada ya miaka miwili kumchukua mtoto inaondoa ukweli kwamba yule ni mtoto wako? mbona tunachukulia hili suala kama haliwezekan wakati mtoto ni wetu sote
Mtoto wenu wote? Mbona kule juu umesema ukishamchukua atakuwa hana say juu ya mtoto?

Huwez kumtenganisha mama na mtoto hata iweje

Mtoto pia ana haki ya kupata upendo na mapenzi ya mama yake

Jaribu kulifikiria kwa upya mkuu
 
Nashukuru naona muitikio wa dada zangu inbox ni mzuri,tupo kwenye majadiliano na baadhi yako,Nipende kusema,Nimekuwa na wazo hili kwa miaka mingi hasa baada ya ndoa za sku hizo kutokueleweka na mambo mengine meng,Na nimefanya hivyo baada ya kukutana na baadhi ya wanawake wenye nia kama yangu.Ni jambo zuri lenye kuhitaji maelewano kati ya watu wawili.Nazidi kuwakaribisha pm ndugu zangu,Kingine hata baada ya kuchukua mtoto kutoka kwangu bado ataendelea kuwa mwanao tu.Asanteni
 
Nashukuru naona muitikio wa dada zangu inbox ni mzuri,tupo kwenye majadiliano na baadhi yako,Nipende kusema,Nimekuwa na wazo hili kwa miaka mingi hasa baada ya ndoa za sku hizo kutokueleweka na mambo mengine meng,Na nimefanya hivyo baada ya kukutana na baadhi ya wanawake wenye nia kama yangu.Ni jambo zuri lenye kuhitaji maelewano kati ya watu wawili.Nazidi kuwakaribisha pm ndugu zangu,Kingine hata baada ya kuchukua mtoto kutoka kwangu bado ataendelea kuwa mwanao tu.Asanteni
safi sana aisee, nikikaa vyema ,ntafanya plan hii murua kama yako, awa viumbe pasua kichwa mno
 
Back
Top Bottom