Namlipa kila mwezi,nasubili atakayekuwa tiyari pm
Mm Niko teyar mkuu ila nataka ela ya kukubebea yote kwanza then ya kila mwenzi kwaajili ya mimba mpk miaka miwili
Namlipa kila mwezi,nasubili atakayekuwa tiyari pm
SawaPm ingekuwa vizuri zaid,ila nimeshasema atakayehitaji namuhakikishia kiwango kizuri cha hela kila mwezi kwa mda wa miaka miwili....
dah na mimi nikimpata wa kutunza mimba nitashukuru sana kwa mweizi sh 120,000 kutunza mimba
ukifanikiwa unikumbuke katika ufalme wakoTulia![]()
nigonge plisner baridiWatakuja mkuundo maana nikasema kwa utamaduni wa kitanzania ni jambo geni,ila ni jambo la kawaida tu!
dah na mimi nikimpata wa kutunza mimba nitashukuru sana kwa mweizi sh 120,000 kutunza mimba
Yakwangu, atunze akizaliwa baada ya mwaka 1 namchukua mtoto naishi naye mwenyeweMimba ya nani sasa
Aiseee
Sidhani kama Kuna mjinga wa kufanya ivyo
Mm Niko teyar mkuu ila nataka ela ya kukubebea yote kwanza then ya kila mwenzi kwaajili ya mimba mpk miaka miwili
Nyokoo ! Haitoshi.ongeza dau
Soooo brave mkuu !!!utampata tu wapo wengi wenye kutaka pia mi mwenyewe ntakuja fanya hivyoHabari za jumapili ndugu zangu.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Ndugu zangu nahitaji msichana yeyote atakaye kuwa tiyari kunizalia mtoto kwa mkataba kuwa anipe huyo mtoto baada ya kufikisha miaka miwili niendelee na malezi mwenyewe.
Kinaweza kikawa ni kitu kigeni hasa kwa tamaduni zetu za Kitanzania,Lakini nimeona nifanye hivyo maana naona umri unazidi kwenda na hamu ya kukaa na mwanamke inazidi kuisha.
Kuna X wangu mmoja baada ya kumuundia zengwe la uongo nikamuacha japo hataki kuachika,Amesema yuko tiyari kunizalia ili abaki na copy yangu,Ila kwa jinsi alivyo king'ang'anizi nimeona anaweza kuniletea balaa hapo mbeleni baada ya kujifungua kwa hiyo nimegoma kuzaa nae.
Ndugu zangu mambo ni mengi mda mchache,baada ya kukaa kwa mda mrefu nikaona nitumie hii njia kwa kujua kuna wasichana ambao kama nilivyo mimi hawapendi kuishi kwenye familia japo wanapenda kuwa na watoto.
Kama atajitokeza humu jukwaani,Lazima tupime afya zetu na nitakuwa tiyari kutoa kiasi kitakachowezekani kila mwezi kwa huo mda wa miaka miwili.
Natanguliza shukrani na maoni au michango kwa wale ambao walishawahi kufanya kitu kama hiki.
Acha upuuzi kijana umesikia sisi ni mashine za kutotolea watotoNgoja niwatag wasiseme hawakuambiwa Khantwe Demiss cutelove cute b JOANA katoto kazuri Unique Flower Sky Eclat
Madame S Akili Sina
Kuna watu wameoa na wanalea watoto ambao si wao hao unaongelea vipi ?hawajakaa na wake zao?Hapo utakuja kuuziwa mbuzi kwenye gunia shauri yako. Inahidi ukaanae angalau miezi miwili uwe na uhakika kuwa mtoto ni wako
Inaitwaje hiyo muvi mkuu?Mh pole kaka..umenikumbusha ile bongo movie ya mtunis alikua anaona wanawake ni pasua kichwa akatafuta wa juzaa nae tu wakafunga ndoa ya mkataba miaka 2 sijui nimesahau kidogo...ila mwisho wa siku aligundua yuke dada ni wife material.
mama ake na yule mwanamke alimwambia binti yake hakuna mwanaume anaependa kulea mtoto peke ake huyo atakua amekosa wife matetial we nenda kamuaminishe bado mpo wanawake mnaojua ndoa nnn.