KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

KUHUSU KUZAA KWA MKATABA

mh jina nimesahahu ila nakumbuka wahusika ni mtunisi na yule dada wa kwenye lost of twince anaitwa mikala
 
Think twice.

Wewe ulizaliwa kwa mkataba?
Binafsi sijazaliwa kwa mkataba ila ni bora ningezaliwa kwa mkataba mana nilikanwa toka tumboni na baba angu...tena alisaini kabisa kwamba mimba si yake..alikuja kukubali baadae nikiwa na miaka 12 na ilikua too late mana mama angu alijua kujitosheleza kwa malezi so sikumshobokea wala nn nilimtafuta tuu nijue yukoje muonekano...baada ya hapo kila mtu na mambo yake.
 
Ila kwa jinsi wanawake wasivyo na akili,utampata tu mjinga mwenzio
 
Baadae Mara paap NDOA ZA MIKATABA.Mambo ya "kizungu" yanaanzaga kupenya hivi hivi.
Habari za jumapili ndugu zangu.
Niende moja kwa moja kwenye mada,Ndugu zangu nahitaji msichana yeyote atakaye kuwa tiyari kunizalia mtoto kwa mkataba kuwa anipe huyo mtoto baada ya kufikisha miaka miwili niendelee na malezi mwenyewe.
Kinaweza kikawa ni kitu kigeni hasa kwa tamaduni zetu za Kitanzania,Lakini nimeona nifanye hivyo maana naona umri unazidi kwenda na hamu ya kukaa na mwanamke inazidi kuisha.
Kuna X wangu mmoja baada ya kumuundia zengwe la uongo nikamuacha japo hataki kuachika,Amesema yuko tiyari kunizalia ili abaki na copy yangu,Ila kwa jinsi alivyo king'ang'anizi nimeona anaweza kuniletea balaa hapo mbeleni baada ya kujifungua kwa hiyo nimegoma kuzaa nae.
Ndugu zangu mambo ni mengi mda mchache,baada ya kukaa kwa mda mrefu nikaona nitumie hii njia kwa kujua kuna wasichana ambao kama nilivyo mimi hawapendi kuishi kwenye familia japo wanapenda kuwa na watoto.
Kama atajitokeza humu jukwaani,Lazima tupime afya zetu na nitakuwa tiyari kutoa kiasi kitakachowezekani kila mwezi kwa huo mda wa miaka miwili.
Natanguliza shukrani na maoni au michango kwa wale ambao walishawahi kufanya kitu kama hiki.
 
Binafsi sijazaliwa kwa mkataba ila ni bora ningezaliwa kwa mkataba mana nilikanwa toka tumboni na baba angu...tena alisaini kabisa kwamba mimba si yake..alikuja kukubali baadae nikiwa na miaka 12 na ilikua too late mana mama angu alijua kujitosheleza kwa malezi so sikumshobokea wala nn nilimtafuta tuu nijue yukoje muonekano...baada ya hapo kila mtu na mambo yake.
Pole. Accept it and forgive him.

Set your heart free.
 
Yakwangu, atunze akizaliwa baada ya mwaka 1 namchukua mtoto naishi naye mwenyewe
Hivi laki na ishirini ni pesa? Watu mna dharau sana... Mimba miezi tisa kupumua kwa tabu, kukaa kwa shida, kulala majaliwa, kula matatizo... Then utoe laki na ishirini!? Tafuta pesa kwanza kwa hela hizo hutakiwi kutafuta incubator..... Kama vipi oa tu mlee mimba bure
 
Hivi laki na ishirini ni pesa? Watu mna dharau sana... Mimba miezi tisa kupumua kwa tabu, kukaa kwa shida, kulala majaliwa, kula matatizo... Then utoe laki na ishirini!? Tafuta pesa kwanza kwa hela hizo hutakiwi kutafuta incubator..... Kama vipi oa tu mlee mimba bure
zeshchriss ok taja kiasi cha chini unachofikiria kidogo ni fair mtu atoe
 
Hivi laki na ishirini ni pesa? Watu mna dharau sana... Mimba miezi tisa kupumua kwa tabu, kukaa kwa shida, kulala majaliwa, kula matatizo... Then utoe laki na ishirini!? Tafuta pesa kwanza kwa hela hizo hutakiwi kutafuta incubator..... Kama vipi oa tu mlee mimba bure
Mi mwenyewe nimeshangaa best, kwa mateso yote yale miez tisa non stop halafu laki na ishirini duh, mimba sio mchezo !
 
Mi mwenyewe nimeshangaa best, kwa mateso yote yale miez tisa non stop halafu laki na ishirini duh, mimba sio mchezo !
Wanadhani kubeba mimba Sawa na kwenda dukani kununua mchele kuleta home....
 
Back
Top Bottom