Kuhusu kuondoa Ukomo wa Rais John Magufuli

Kuhusu kuondoa Ukomo wa Rais John Magufuli

Mk54

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2016
Posts
1,996
Reaction score
3,962
(Beyond two -term limit).

1. Je, ni kweli wakati mwingine Rais anahitaji mihula mitatu ili kuleta mantiki katika Uongozi?

2. Miaka 5 ya kwanza ni kipindi cha kujifunza na kuweka malengo. Miaka5 ya pili ni kipindi cha kusimamia MALENGO. Miaka 5 ya tatu ni kipindi cha ukamilishaji wa malengo. ( Source: Mkapa, 2020, My Life, My Purpose)

3. Mwalimu alikaa madarakani miaka zaidi ya miaka 20, katika kitabu chake, Ben ameeleza kwamba, mwalimu alitaka kuondoka madarakani kwa mara ya kwanza, lakini wajumbe wa chama na mataifa mbali mbali walimuomba aendelee. Baada ya miaka kadhaa, wajumbe hao hao waliomba tena mwalimu aendelee. This time mwalimu alisema NO. Ninakabidhi nchi kwa mtu mwingine. Aidha, mwalimu akasisitiza endapo NITAFIA madarakani, tambueni kwamba mrithi wangu nae atataka kufia madarakani. This time NO. ( Source: Mkapa, 2020, My Life, My Purpose)

4. Sote tunajua msimamo wa JPM, lakini pia kwenye siasa huwa hakuna bahati mbaya. Endapo JPM ataenda kinyume na his predecessors na kuitia KATIBA mikono, ni vyema tukajua watanzania wanaotamani JPM aendelee kuongoza nchi beyond his terms.

Wewe kama Mtanzania toa maoni yako na mawazo yako huru hapa. Kwanini unatamani tumuongezee muda JPM, na kwanini hautamani JPM kuongezewa muda?
 
Urais mwisho uwe miaka 10 kama katiba inavyosema.

Umesoma kitabu cha Mkapa?

Katika kiitabu cha Mkapa, Mkapa alipinga vikali habari za kubadili katiba ili rais aongeze muda wa kutaeala. Aliutaja hata mfanonwa Salmin Amour alivyotaka kufanya hivyo na jinsi gani hilo jqmbo lilivyomchukiza.

Hapa gazeti la The Citizen liliandika makala kuhusu hili.



Tanzania: Mkapa On Presidential Term-Limits

14 NOVEMBER 2019

The Citizen (Dar es Salaam)

By Khalifa Said

Dar es Salaam — Former President Benjamin Mkapa has criticised some African heads of state for clinging to power even after the expiry of their respective constitutional term limits, saying the practice does not only complicate governance of the respective countries but also poses a risk to regional peace, security and stability.

Mr Mkapa's warning, given in his autobiography titled My Life, My Purpose: Tanzanian President Remembers and launched on Tuesday. In the memoir, Mr Mkapa opens up about his life and experiences as a Tanzanian leader.

The criticism comes on the heels of mounting voices in various forms that suggest that the constitution of Tanzania should be amended to allow President John Magufuli stay longer than the two-five year term. President Magufuli has, nonetheless, ruled out any possibility of him going beyond what is currently stipulated in the constitution.

Expressing his disappointment over what has happened elsewhere in the region in relation to the issue of term limits, Mr Mkapa, who has worked as a mediator for the Inter-Burundi Dialogue, says: "Looking at neighbouring countries, we have seen leaders trying to retain power beyond their allotted term." The Inter-Burundi Dialogue is an EAC initiative aimed at resolving political tensions caused by the 2015-controversial Burundian elections.

"If you've served well, yet choose to remain beyond your term, which results in a threat of unrest and violence, why do you, as a leader, want to see that violence erupt? Why spoil your record of leadership and create a crisis, why?," asks Mr Mkapa as if addressing leaders of Uganda, Burundi and Rwanda, who have allowed changes to their respective constitutions to extend their stay.

Close to home, Mr Mkapa writes in the 320-page memoir that he "was very tense" when former president of Zanzibar, Salmin Amour, wanted to extend his term to an unconstitutional third term, a move he said, if successful, would have been "catastrophic for Tanzania."

Mr Mkapa says that "there were no extraordinary reasons" for Dr Amour to do so, and although he didn't want to appear dictating to the Zanzibaris, "I was determined not to have the constitution changed."

Beyond thessue of term-limit, however, Mr Mkapa also expresses his support for the need to strengthen the checks and balance in the country, describing the principle of separation of powers, for example, a "vital" one especially for a developing country like Tanzania.

This also comes amidst the growing debate in the country around the question of whether or not the constitutional safeguards are enough to ensure checks and balances at a time where one pillar of the State, the Executive, is seen to overreach itself at the expense of accountability and good governance, a claim the Magufuli administration denies.

"There must be a structure which can mitigate a president's power, or at least provide for a time for a president to rethink," argues Mr Mkapa, after acknowledging that under the current constitution the president has excessive powers vested into him. "Perhaps this is where a second parliamentary chamber could be useful, it could offer the opportunity for those who have had substantial experience to review bills. [It] could at least quietly warn of any potential for a negative impact from a proposed bill."

Close

[https://cdn07]
 
Ina maana Tanzania nzima yeye pekee ndio mwenye akili? Acheni ujinga. Watanzania tupo zaidi ya milioni 60 haiwezekani yeye peke yake awe na akili kutuzidi watanzania wote kustahili kuongezewa muda. Acheni ujinga.
 
Kwa maoni yangu it’s better kama angeachia madaraka kwa mujibu wa katiba ili kupisha iyo dhana ya kuendelea kukaa madarakani kwa kigezo cha mbona flani na flani walikaaa ni hayo tu.

Yeah it makes sense, lakini je , kwa nchi inayohitaji kuendelea kamaTZ, ni sahihi miaka 10 inatosha kuleta mabadiliko ya kweli? Kama ndiyo, then how ?
 
Maoni na mitazamo binafsi haina nafasi kwa sasa maana KATIBA ya NCHI na hata ya Chama kinachoongoza Nchi kwa sasa vipo clear kabisa

Waliotunga Katiba na kuweka vipindi viwili vya miaka mitano mitano waliexplore options zote.

Lakini nyakati hubadilika, hata Biblia hufanyiwa maboresho, nini maoni yako ?
 
Back
Top Bottom