Kingsharon92
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 7,935
- 10,559
Utakoswa wa kukuzika wewe roho mbaya mpaka shetani anakuogopa
Na ndivo ilivo,wengi kwasasa wanavizia mda wa kula umepita ndio wajeShow umeifanya wewe, mimi huku nimeona aibu.
Itafikia kipindi watu hawatatembeleana, kwa wakazi wa Dar hiyo imeshaanza, ni heri kukutana sehemu neutral na kumaliza mazungumzo kuliko kwenda kwa mtu. Kwanza wengi ni "chumba kimoja" au "viwili", watoto na mke/mume wote wanashare mazingira yaliyo finyu sana, wanasema person per square meters haipo sawa.
Wewe ni kauzu zaidi ya dagaaHellow,
Mimi nakaa nyumba moja na rafiki yangu ambae ni teacher wa sekondari, na kwenye bajeti yetu ya mwezi kila cku tumeweka portion ya watu 2, kwenye swala la msosi.
Juzi Juzi ticha alitembelewa na rafiki zake wawili wa kiume muda wa mchana, walimkuta teacher akiwa anapika, chakula kilipoiva, teacher alipomaliza kukaribisha rafiki zake msosi nilimuuliza kama wageni waliokuja walitoa taarifa kabla ya kuja, teacher akasema hamna c wamekuja kunsalimia tu, na blah blah nyingine, mm nikawauliza wageni wale kama walitoa taarifa kabla ya kuja nao walisema oh unajua, oh.., mm nkamwambia teacher live mbele ya wageni kuwa share ya msosi iliyopo ni ya watu 2, na nliwaambia wageni kuwa kwa vile mmekuja bila taarifa cha kuwasaidia ni kuwapa maji, msosi uliopo hapa ni wa watu 2, so sitakubali tu-share na nyie huu msosi, bac wale wageni walikaa pale mwishowe wakaondoka, hlf baadae teacher alintupia lawama kuwa I was rude, hiv jamani kuna kosa lolote nlilolifanya?
Naombeni mawazo yenu
Mkuu nimependa avatar yakoUkauzu wa Kimagufuli utawaua!
Sasa kulikuwa kuna haja gani ya kuwaumbua hivyoMm ni mwanaume, na sio mchoyo kama unavyofikiria ila sometimes inabid tuwekane sawa Tamama Diva Beyonce
Hii night zaidi ya uchoyoKwa sisi waafrika ni bora mwenyeji usile wageni wale hata kama hawajatoa taarifa.
Tulishawahi kuharibikiwa na gari njiani wenyeji wetu walitupa chakula na malazi bure huo ndio uafrika.
Wewe ni mchoyo.
Mwema kwa mzee wangu sio kwa wageni wa hafla wasiokuwa na mawasiliano.Yani wewe kama kweli sio unabwatuka tu hapa kuwa unaweza mpa 500k every month mzazi wako na chakula cha mara moja tu cha mgeni kinakutoa roho; then evil is truly devouring the world! And sidhani kama unaweza kuwa mwema hivyo at the same time ukawa mchoyo hivyo, I seriously doubt that!!!
Ina maana kila mara ukipata wageni wa ghafla muda wa msosi utawasema?sometimes tujifunze kumezea vitu vingineMwema kwa mzee wangu sio kwa wageni wa hafla wasiokuwa na mawasiliano.
Mimi naomba unieleweshe nini maana ya "okoyoko"Hellow,
Mimi nakaa nyumba moja na rafiki yangu ambae ni teacher wa sekondari, na kwenye bajeti yetu ya mwezi kila cku tumeweka portion ya watu 2, kwenye swala la msosi.
Juzi Juzi ticha alitembelewa na rafiki zake wawili wa kiume muda wa mchana, walimkuta teacher akiwa anapika, chakula kilipoiva, teacher alipomaliza kukaribisha rafiki zake msosi nilimuuliza kama wageni waliokuja walitoa taarifa kabla ya kuja, teacher akasema hamna c wamekuja kunsalimia tu, na blah blah nyingine, mm nikawauliza wageni wale kama walitoa taarifa kabla ya kuja nao walisema oh unajua, oh.., mm nkamwambia teacher live mbele ya wageni kuwa share ya msosi iliyopo ni ya watu 2, na nliwaambia wageni kuwa kwa vile mmekuja bila taarifa cha kuwasaidia ni kuwapa maji, msosi uliopo hapa ni wa watu 2, so sitakubali tu-share na nyie huu msosi, bac wale wageni walikaa pale mwishowe wakaondoka, hlf baadae teacher alintupia lawama kuwa I was rude, hiv jamani kuna kosa lolote nlilolifanya?
Naombeni mawazo yenu
Maisha ya Dasalama na Mikowani tofauti dada yangu. Nyinyi wakaribisheni mimi sibadilishi msimamo chakula sio shida. Tatizo kuja kwangu bila taarifa tena wakati wa kula. Kwanini asinijuulishe na yeye nikamuwekea plate yake maisha ya dar lazima uwe na budget.Ina maana kila mara ukipata wageni wa ghafla muda wa msosi utawasema?sometimes tujifunze kumezea vitu vingine
Ongeza bidii upate kipato ambacho u never worry mgeni wa ghafla akija atakula nini,..katika milo nliowahi furahia maishani mwangu ni ile niliyoshare na watu wengineMaisha ya Dasalama na Mikowani tofauti dada yangu. Nyinyi wakaribisheni mimi sibadilishi msimamo chakula sio shida. Tatizo kuja kwangu bila taarifa tena wakati wa kula. Kwanini asinijuulishe na yeye nikamuwekea plate yake maisha ya dar lazima uwe na budget.
sio kiivyo aisee,wewe umezidiMaisha ya Dasalama na Mikowani tofauti dada yangu. Nyinyi wakaribisheni mimi sibadilishi msimamo chakula sio shida. Tatizo kuja kwangu bila taarifa tena wakati wa kula. Kwanini asinijuulishe na yeye nikamuwekea plate yake maisha ya dar lazima uwe na budget.
You have violated our social norms.na nliwaambia wageni kuwa kwa vile mmekuja bila taarifa cha kuwasaidia ni kuwapa maji, msosi uliopo hapa ni wa watu 2, so sitakubali tu-share na nyie huu msosi, bac wale wageni walikaa pale mwishowe wakaondoka, hlf baadae teacher alintupia lawama kuwa I was rude, hiv jamani kuna kosa lolote nlilolifanya?