Kuhusu kukaribisha wageni chakula

Kuhusu kukaribisha wageni chakula

Yaani hujaona hata hayaAibu kuayaandika maneno haya kweli tumeumbwa tofauti, chakula siyo cha kumsimanga nacho mtu mimavi tu hiyo baada ya muda
 
Huo msosi ushaenda utoa chooni ila tabia ya uchoyo uliyoionesha itadumu milele kwa haoi uliowatendea ubandindu
 
Mi ndo maana huwa sipendi enda kwa mtu
Kama ni biashara tuzungumze hotel tupate kinywaji mambo ya kwenda kwa mtu ukute hajajipanga kunipokea
Hapana
Tujifunze kutoa taarifa za twaenda wapi, kwa muda gani etc
 
Hellow,
Mimi nakaa nyumba moja na rafiki yangu ambae ni teacher wa sekondari, na kwenye bajeti yetu ya mwezi kila cku tumeweka portion ya watu 2, kwenye swala la msosi.

Juzi Juzi ticha alitembelewa na rafiki zake wawili wa kiume muda wa mchana, walimkuta teacher akiwa anapika, chakula kilipoiva, teacher alipomaliza kukaribisha rafiki zake msosi nilimuuliza kama wageni waliokuja walitoa taarifa kabla ya kuja, teacher akasema hamna c wamekuja kunsalimia tu, na blah blah nyingine, mm nikawauliza wageni wale kama walitoa taarifa kabla ya kuja nao walisema oh unajua, oh.., mm nkamwambia teacher live mbele ya wageni kuwa share ya msosi iliyopo ni ya watu 2, na nliwaambia wageni kuwa kwa vile mmekuja bila taarifa cha kuwasaidia ni kuwapa maji, msosi uliopo hapa ni wa watu 2, so sitakubali tu-share na nyie huu msosi, bac wale wageni walikaa pale mwishowe wakaondoka, hlf baadae teacher alintupia lawama kuwa I was rude, hiv jamani kuna kosa lolote nlilolifanya?

Naombeni mawazo yenu
Mchoyo mkubwa we.
 
hahahahahaaaa., mkuu wewe ni shida. Ila ulikuwa rude sana. Ungemvutia jamaa yako pembeni afu umpe za uso. Then ungepika kingine. Anyways ila na sisi waBongo tukomage kwenda kwa watu bila taarifa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kuna utaratibu ambao watu huwa wanajiwekea, sijaelewa nyinyi mnaishi nyumba moja? Wote ni ME? Kwa siku moja sio mbaya ila kama ni kila siku jamaa wageni kwake yeye tu na ni mida ile ile ya msosi hiyo kwa DAR naweza sema hapana haikubaliki, ila kwa huku mikoani jambo la kawaida mno, huku misosi sio ishu kubwa....ila mgeni akija mwenyeji ndio anabeba jukumu lote.
 
Mtoa Uzi umenishangza, chakula t unamkalipia mtu tena mgeni!!!!!duuu kweli hatareeee
 
Yaani kama ni uchoyo wewe ni PhD holder si bora ungewaacha wale halafu umwambie huyo mwenzio arudishie hicho walichokula
 
Ulichofanya si jambo la kibinadamu kbisa, chakula na maji siyo vya kumnyima mtu kabisa... Una roho ngumu mno
 
Sasa nyie wanaume wakubwa kabisa mnaishije wawili tu nyumba moja.

Hii yote sababu unahusudu kula sana.
 
Mh! Hapa naona umuhimu wa kupelekwa kwenye nyumba za ibada tangu tukiwa watoto, kuna vitu vinajengeka vinavyokuepusha na tabia za aina hii.
Tusimlaumu mleta Uzi hatujui amepitia mambo gani na amelelewaje?

Hata hivyo, kwani ulikua na uhakika kwamba hawajala huko walikotoka? Au lazima wale hapo kwenu? Kama wangeenda kula mbele ya safari si umejidhalilisha bure mkuu?
 
Back
Top Bottom