Kuhusu Habibu Mchange

Kuhusu Habibu Mchange

Hossam

Hizi nondo mumpe Lowassa apate japo cha kuongea
 
Last edited by a moderator:
Hapana mzee 5gear haiko chini ya tetere fuatilia

Ngoja niandike kwa lugha rahisi,Tetere Media ya mchange ndio inayotengeneza matangazo ya 5 gears,tetere ndio ina mshoot ceaser na ndio ina fanya editing na kukipeleka kipindi clouds.
 
Akili yako matope sana!
Jamaa alambe mil 500 halafu ashindwe kurudi chuo??

Uokote milioni 500 urudi chuo kufanya nini? Akili kichwani, huo ni mtaji tosha unawekeza unazalisha mara saba u sabini. Ukiwa mfujaji kweli ni heri urudi chuoni!
 
Uokote milioni 500 urudi chuo kufanya nini? Akili kichwani, huo ni mtaji tosha unawekeza unazalisha mara saba u sabini. Ukiwa mfujaji kweli ni heri urudi chuoni!

Babu yako alise AKILI NI MALI. BORA UNYIMWE MALI ILA UPEWE AKILI. Napata shida kujua uwezo wa dafu lako.
 
Laana ya ALLAH itawapata wale wenye kubeza uwezo wake.ALLAH humpa amtakaye na kumnyima amtakaye.Maradhi...Maradhi ya mtu achaneni nayo.
 
hawa matapeli wanawashangaa wezi, yaaani kashfa za zzk na machange ni noma. Mkumbo msameheni ni mtoto wa mtaani kama Anna alivyosema, hivyo hana malezi ya baba na mama. Hawa watoto wamearithika na usaliti ni hulka yao, huwezi kumwani hata kidogo kabla hajakuchangania habari
 
Hossam

Upuuzi kama huu wa kuamka na kuandika riwaya kama hizi kila mmoja anaziweza, change with contents ndio habari ya mjini
 
Last edited by a moderator:
Nawashauri Act wasimame wenyewe, waache kutumika na CCM. Labda kama walifungua chama kwa lengo la Kupambana na Ukawa hasa Chadema.
 
Jana sindano ya Mchange imewaingia kisawasawa UKAWA sahivi mnatoa reaction baada ya maumivu Teh!
 
  • Thanks
Reactions: nao
Zito amewahi sema wanaouliza napata wapi pesa za kuendeshea chama waulize cdm ilikuwa inapata wapi kipindi kile haina wabunge!? Akasema hizo njia walizopita ndimo nami napita. No ufafanuzi hapo.
 
unafkir chuo ni sawa na msalani??niulize.mm niliyesoma naye live.

alifukuzwa udom kwa sababu ya ukorofi wa kumobilize migomo na ni huyuhuyu aliyepgwa bann na kikula

Kumbe umesoma UDOM. Umeeleweka mkuu
 
Back
Top Bottom