Hahahaha wewe hoja za zitto zimekuingia na unawashwa sasa. Jikune usione aibu. Leo ndo umekaa ukapanga hivyo? Wewe ni boya sana. Mchange ni mmeo? Kitila nae mmeo mbona unamjua zaidi ya mkewe? Si useme tu kama alitembea na wewe mbona hujitaji? Alafu ndo uulize kama ni muadilifu?
upumbafu na ulofa unakusumbua kuandika vitu vya kijiweni-unaacha kujibu hoja za Zakhem, kwa yaliyoelezwa Zakhem mnatakiwa muitishe kikao kingine Jangwani kijielezea vinginevyo mmekwisha
Kama meneja wa kampeni ndio yule, ACT hawapati hata 5% ya kura zote!
watu hawabahatishi mkuu .Tetere Media ni kweli ya mchange na ina produce kipindi cha 5 gears Clouds TV,kweli unamjua Mchange.
hapana , huyu ni yule aliyewadhulumu nauli wale makamanda wa mikoa ya kusini wakati wa vuguvugu la usaliti , hadi wakaja ufipa kuomba msaada , ila ana roho mbaya sana ! kuwadhulumu wenzake mil 7 tu ni ujasiri wa hatari sana !Hivi huyu Habib Mchange ndio Manyaunyau au wanafanana tu ie duniani wawiliwawili?!!
lowasa atapata % ngapi?Kama meneja wa kampeni ndio yule, ACT hawapati hata 5% ya kura zote!