Habibu Mchange aliwahi gombea ubunge Kibaha Mjini kwa Tiketi ya CDM, ZZK alimlea katika kipindi hicho muhimu cha kampeni akiwa ametoroka Chuo kikuu cha Dodoma. Alijaribu kurudi chuo baada ya kushindwa uchaguzi mkuu uliopita bila mafanikio, mpaka sasa anacheti cha form six tu.
Je Mchange na Zitto kumbushaneni yafuatayo:
1. Zitto ukiwa na Mchange unakumbuka mlienda kwa Singasinga wa Escrow Mkapewa pesa 500,000,000/= kisha Mchange akakuzulumu mkagombana?
2. Baada ya Mchange kukwapua pesa hizo za Escrow akaenda China mara 3 kuzitakatisha kwa mgongo wa kununua vifaa vya studio, kuanzisha gazeti Janvi la Habari, Tetere Media, Kiwanda cha kuzalisha Unga, kupanga ofisi Kitega Uchumi, na Migahawa 3 iliyopo Kariakoo?
3. Zitto unafahamu kwamba Mchange ndie aliempatia Lusinde zile Risiti ambazo Lusinde alikuchana nazo Bungeni?
4. Mwami unafahamu ya Kwamba Mchange alikula mpunga tena kwa Mama Tibaijuka na Muhongo (100,000,000/) kwa nia ya kuwasaidia wasifukuzwe Uwaziri kwa kupambana mitandaoni kama mlivyo mdanganya Singasinga?
5. Zitto ile milioni moja uliyokua unadaiwa na Mwampamba ulisha mlipa au autalipa na interest?
6. Zitto zile pesa ulizokua unapewa na Dau wa Nssf ili kuwalipa na kuwasafirisha kundi lako la wanamuziki wa Kigoma ulizirudisha au ndio udini Mliouonesha leo kwenye Uzinduzi wa Kampeni zenu?.
7. Mwami zile pesa ulizo kua unapewa na Boss mkuu wa Tanapa umezirudisha au utarudisha kwa riba?.
8. Hivi Profesa Kitila Mkumbo Wewe kweli Unauadilifu. Ukiwa pale Mlimani katika ubora wako Ukatembea na Janet, Asha, Wema, Jacline, na Zena mkeo alikua hakutoshi?
9. Sorry Mwami unajua kwamba Toto lako yaani Mchange ndie alie liuwa lile kundi lako la all Kigoma stars?. Pesa ulizo kua ukipewa na Alhaji Dau Mchange alitumia Kupanga nyumba ya kifahari Tbt na kufunga ndoa na Shemeji yetu Z?
Je Zzk, Mchange, Kitila uadilifu wenu ni upiii?
Pangu Pakavu