Chabrosy
JF-Expert Member
- Feb 12, 2018
- 2,618
- 3,083
Habari wadau,
Mimi bhana nataka ninunue iyo gari na bajeti yangu ni 18M je show room naweza nikaipata kwa bei iyo mana Crown athelet yangu nimeiuza jana 13M sasa nimeongezea hapo 5M nataka iyo Nissan Juke
Nilikujaga na uzi nilikuwa nataga BMW 3 au Crown athelet nikashauriwa nichukue Crown Athelet nikaichukua kwa mtu 12M ilikuwa ina hali nzuri sana mana jamaa alieniuzia alitembelea mwaka tuu mm akaniuzia mm na mm leo nimeiuza,sasa now nataka ninunue Show room kabisa iyo NISSAN JUKE.
Nataka nifahamu changamoto zake na uzuri wake je naweza nikapata kwa iyo 18M.
Asanteni nawasilisha karibuni wadau.
NB: NILIUZA Crown Athelete kwa sababu iko chini sana na mm mazingira niliyopo now ni bsrabara mbovu arafu rafu rood sana kwaiyo inagusa sana chini ndomana nilipendelea NISSAN JUKE mana ni ya kinyama sana niko DAR kwa ajiri ya kuitafuta iyo gari nirudi nayo mkoa,ila crown athelete ni gari poa sana unyama mno nisingeiuza...
Mimi bhana nataka ninunue iyo gari na bajeti yangu ni 18M je show room naweza nikaipata kwa bei iyo mana Crown athelet yangu nimeiuza jana 13M sasa nimeongezea hapo 5M nataka iyo Nissan Juke
Nilikujaga na uzi nilikuwa nataga BMW 3 au Crown athelet nikashauriwa nichukue Crown Athelet nikaichukua kwa mtu 12M ilikuwa ina hali nzuri sana mana jamaa alieniuzia alitembelea mwaka tuu mm akaniuzia mm na mm leo nimeiuza,sasa now nataka ninunue Show room kabisa iyo NISSAN JUKE.
Nataka nifahamu changamoto zake na uzuri wake je naweza nikapata kwa iyo 18M.
Asanteni nawasilisha karibuni wadau.
NB: NILIUZA Crown Athelete kwa sababu iko chini sana na mm mazingira niliyopo now ni bsrabara mbovu arafu rafu rood sana kwaiyo inagusa sana chini ndomana nilipendelea NISSAN JUKE mana ni ya kinyama sana niko DAR kwa ajiri ya kuitafuta iyo gari nirudi nayo mkoa,ila crown athelete ni gari poa sana unyama mno nisingeiuza...