kuhusu confirmation code awamu ya pili

newbiee01

Senior Member
Joined
Jul 21, 2018
Posts
100
Reaction score
23
Kwa walio bahatika kupata chuo awamu ya pili..!! .....cjaelewa kinachoendelea kutoka TCU mpaka xx ukiingia kwenye accont mfan udom wanakuambia uweke izo code, labda mwenye newz kuhusu ili swala tuhabarishane.
 
Au ndo yatukua ya kama ya 1st round kucumbuka kupata kodi
 
Daaah m mwenyew bado nazisubir na mpaka sasa naona kimya sijajua TCU wanalengo lipi
 
Codes wanaweka walioomba chuo zaid ya kimoja, kama uliomba chuo 1 tu una comfirm hakuna code
 
Io ina eleweka make uezi kutmiwa kode kama umechaguliwa chuo kimoja ni kwa multiple selected tu
 
Jaman 2nd round tuliambiwa j3 tutatumiwa code .Nipende kujua km kuna m2 tayr alishapewa confirmation code?
 
code ni kwa yeyote hatakama umechaguliwa chuo kimoja.
 
Hawawezi kutuma confirmation code mpaka vyuo vyote vitoe second selection
 
Uliwapigia simu au walitangaza kwenye taarifa ya habr
 
Ndio kna vingine vilikua avijatoa mfn mosh coperatvie uni.... , NIT
 
cjajua niliangalia asbuii jna cjui leo xx
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…