Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

Ninavyojua ni kuwa Iran ni nchi ya kiislam Kwahiyo Ayatollah anakuwa kiongozi mkuu wa dini na serikali tofauti na wabongo yeye yupo kwa ajili ya waislam tu kuwaongoza kwa mambo ya dini
 
Wakuu hivi cheo alicho kuwa nacho ayatollah yule jamaa aliepigwa bomu ndo sawa na cheo cha mufti wetu hapa Tanzania?
Asante
Yule alikuwa ni Mfalme na mkuu wa dini ya Islamic Shia.

Kidogo walitazamia kwa Uingereza, Mfalme ndiye mkuu wa Kanisa la Anglican, ingawa chini yake kuna Askofu mkuu.

Kwa sababu hiyo, ndiyo maana wakamrithisha mwanaye kukamatia kijiti, lakini Trump kautukana uteuzi huo na kudai hautambui, watafute mwingine mwenye kuendana na sera zake ndiyo ataridhika na kusimamisha vita.
 
Back
Top Bottom