yvegenc prymacov
JF-Expert Member
- Jan 22, 2023
- 1,529
- 1,923
Salute, mie ninajiuliza, ni kweli watanzania hatuwezi kuendesha mashirika yetu ya umma? Kama tunakiri wazi hatuwezi kuendesha bandari, je tunawezaje kuendesha nchi?
Najiuliza kwanini kwa Hayati Magufuli mashirika ya umma mpaka yalikuwa yanatoa mpaka gawio? Kwa mfano TTCL, leo imetangazwa kufirisika, lakini kwa Hayati Magufuli ilikuwa inatoa gawio, kwanini leo hakuna? Tatizo lipo kwa wakuu wa nashirika ya umma?, au tatizo lipo kwa mkuu wa nchi?
Kama hatuwezi kuendesha bandari, basi hata nchi hatuwezi kuiendesha, tubinafsishe kwanza Ikulu, halafu ndio tuanze kubinafsisha na bandari.
Najiuliza kwanini kwa Hayati Magufuli mashirika ya umma mpaka yalikuwa yanatoa mpaka gawio? Kwa mfano TTCL, leo imetangazwa kufirisika, lakini kwa Hayati Magufuli ilikuwa inatoa gawio, kwanini leo hakuna? Tatizo lipo kwa wakuu wa nashirika ya umma?, au tatizo lipo kwa mkuu wa nchi?
Kama hatuwezi kuendesha bandari, basi hata nchi hatuwezi kuiendesha, tubinafsishe kwanza Ikulu, halafu ndio tuanze kubinafsisha na bandari.