Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Habari za jioni wanaJF.
Tunatambua kwamba mpaka sasa hakujawa na kauli iliyo wazi kutoka serikalini inayoonyesha kama watanzania watapatiwa katiba mpya.
Leo hii mh.rais ametoa kauli nyingine kuhusu katiba,kikwete amesema tume ya 'kuhuisha' katiba itaundwa.
Tujaribu kujadili huku "kuhuishwa'' kwa katiba maana yake halisi ni ipi?
Nawasilisha...
Tunatambua kwamba mpaka sasa hakujawa na kauli iliyo wazi kutoka serikalini inayoonyesha kama watanzania watapatiwa katiba mpya.
Leo hii mh.rais ametoa kauli nyingine kuhusu katiba,kikwete amesema tume ya 'kuhuisha' katiba itaundwa.
Tujaribu kujadili huku "kuhuishwa'' kwa katiba maana yake halisi ni ipi?
Nawasilisha...