Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,840
- 2,425
NIMEKUPUKUTISHA ......Naona unaleta majigambo kwenye hakuna. Nakuuliza swali. Utaweza ?
Mimi na Kiranga hatufanani kiimani wala kimtazamo.
Siwezi kumuiga. Tujikite kwenye mada.
Tuendelee ....
Kama umeijua roho na haujautambua uhai,umedabiga matara hapo mkuu nilikuhakikishia kuwa nitakupukutisha onaa sasaaa...hata hujafika mbali nimekuchalaza.....
NIMEKUPUKUTISHAA....
NIMEKUPUKUTISHA ......
NIMEKUPUKUTISHAAA....Kuna mwalimu mmoja punguani aliwahi kudai ya kuwa anaweza kuumba,mwanafunzi akamkatalia,mwalimu kwa ushupavu wake,akamwambia mwanafunzi naweza kuumba,akauchukua mkate akauvundika,baada ya siku kadhaa mkate ukatoa funza,akaja nao na kujinadi ya kuwa ameumba.
Mwanafunzi akamuuliza,mwalimu kama wewe umeumba naomba unitajie idadi ya hao funza,na kuna majike wangapi na madume wangapi,na wanamekula mkate kiasi gani kila mmoja ?
Sasa inaonekana wewe unafikiri kijinga na kitoto kama walivyo fikiri wakubwa wako.
Nasubiri majibu ya maswali yangu,kisha nikundishe.
Tuendelee....
NIMEKUPUKUTISHAAA....
Unaigiza kumuiga kiranga ila mimi nitakupukutisha vizuri tu...
Narudi kwako roho ni nini?
Kama unaijua roho kwanini uulize uhai umetokana na nini!...
.
NAKUPUKUTISHAA....
Roho yangu haitashindana na matope haya
NIMEKUPUKUTISHAAA....Naanzia hapa :
Allah Says in the Holy Quran Chapter 17 Surah Israa verse 85:
"They ask thee (O Prophet (saws)) concerning the Rooh (Spirit or Soul). Say: "The Rooh (comes only) by the Command of my Lord! Of its knowledge it is only a little that is communicated to you (O men!)"
Tuendelee.
NIMEKUPUKUTISHAAAInaonekana hauko serious unaleta mzaha. Ukiwa serious nistue nikufundhishe maneno.
Namanisha unaandika matope,
Kusema Muda ni kiumbe tena muda una uhai ni matope ya utelezi hatar
Cwez kushindana nayo
Mkuu wakati sio kiumbe aisee.Ndio una uhai.
kwa maelezo yako ambayo wewe umeyaita definition ya muda (kwa Leo kwenye aya ya kwanza) hiyo sio definition ya muda Bali ni si-units za muda (Vizio vya muda )
Nilikua nalekebisha hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu haya mambo wala yasikuumize sana kichwa.haya mambo ni kukopi na kupesti tu.
Yani vimeitwa hivyo kwa sababu ya huyo mvumbuzi kaviita na yeye ndo kavipima.
Ndo mana lile duara lau angetangulia mtu akaliita lile ndo pembe tatu na pembe tatu ndo duara basi tungeamini hivyo na kukubaali na tungezowea.
Zamani mambo yalikuwa yanaenda kwa majira ya kuangalia machomozo na machweo ya jua tu.
Hivyo kipimo cha sekunde huyo aliyeweka wala hakuzingatia vigezo vyovyote bali ilikuwa ni maoni yake tu na yakatumika ulimwengu mzima.
Na pia huwenda angetokea mtu hii dakika angeweka ndo sekunde basi ingekuwa hivyo na tungezOwea tu bila shida.
Ni sawa na moja kuiandika 6.waliotangulia wangeliita hiyo ndiyo moja basi na sisi tunhezowea hivyo hivyo.
Lau kama hii namba 5 waliotutangulia wangeiita mbili basi tungezowea hivyo lakini hawakuita hivyo.
Ukisema muda kwa kukusudia sekunde,dakika,saa,siku,wiki,mwezi na mwaka basi tujue kwamba hayo masekunde na madakika kuna watu tu walijifanya wasomi wakaweka vipimo vyao.
HIVI fikiria kwanza kama saa hizo za mishale na namba zisingekuwepo unadhani kungekuwa na kitu kinaitwa dakika?
Je sekunde ingekuwepo?
Je saa ingekuwepo?
Kama vingekuwepo vingepimwa kwa kutumia kitu gani kinyume na hizi saa zanamba na mishale?
Hapa tunaweza kutizama na kuona kwamba aliyeleta sekunde na dakika basi ndiyo aliyeleta saa.
Huwenda zamani walikuwa hesabu zao ni mwaka na siku na nyakati kwa kuangalia masika mpaka masika wanajua sasa ni mwaka huo.
Kwa kuangalia kuchomoza kwa jua wanajua siku mpya hiyo.
Kwa kuangalia kuwa kati kati kwa jua na likawa kali wakajua kwamba sasa ni mchana na njaa zikawauma na kiu zikawashika wakatamani kula.
Na kwa kuingia giza wakajua sasa ni usiku huo wakapatwa na usingizi wakatamani kulala.
Lakini sasa kusema kwamba sasa hivi mi saa saba na dakika 5 haya ni maoni ya watu ambao wametengeneza hizo saa na teknolojia.
Hivi wangesema kwamba pale jua linapokuwa kali ile ndo saa mbili mchana nani amgelikataa kwa wakati huo waliouanzisha?
Kwa hvyo ni mambo madogo tu haya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahaahahhhahha aiseeee hatari sana.Ulaji wa Nyama ya nguruwe inasababisha watu wawe mashoga pamoja na madhara mengine.
Ni nyama mbaya sana kuila, na ndiyo sababu Mungu akaiharamisha.