Mjumbe ulishia la ngap, nin maana ya muda?Wala sijawahi kufikiria hivyo ndio maana nikasema hakuna sehemu ambayo haina muda.
Hapa kama unakichwa ulitakiwa ujue ya kuwa nimefikiria zaidi ya wakubwa zako wanavyofikiria.
Wala sikuzingatia saa za mkononi,sababu kwangu mimi MUDA pia ni kiumbe,ufahamu huu hata wakubwa zako hawana.
Tuendelee ....
Tatizo najua mipaka yangu,hata wakubwa zako hawawezi kuthibitisha ya kuwa hakuna sehemu ambayo haina muda.
Kutokujua mipaka yako ndio uvivu wa kufikiri.
Leo ni sawa sawa na wewe ufikiri namna ya kuzuia kifo. Hata ufikiria vipi kifo hakizuiliki sasa ndio utajua kati yangu mimi na wewe nani mvivu.
Nipo ....
Mjumbe ulishia la ngap, nin maana ya muda?
"The world has no limits except the ones you make" by r. Einstein
Mjumbe karibu dunia ya elimu
Ungeishia neno "sijui" ingependeza ili nikusaidie, ila ulichoendelea apo mbele ndomaana yakukuuliza ulishia la ngap, somo la sayansi primary linaeleza maana na feutures za kiumbeSijui,ila nacho jua mimi MUDA ni kiumbe.
Naomba uniambie wewe MUDA ni nini ? Kisha ujiandae kujibu maswali nitakayo kuuliza.
Tuendelee ...
Sayansi kwangu huwa siizingatii sana sababu imejengeka katika misingi ya kihisia na dhana na majaribio,yakiambatana na mashaka.Ungeishia neno "sijui" ingependeza ili nikusaidie, ila ulichoendelea apo mbele ndomaana yakukuuliza ulishia la ngap, somo la sayansi primary linaeleza maana na feutures za kiumbe
Cjui kama ulikimbia umande au vp but wenda una hoja nisikufunge jitetee hoja ya Muda kua kiumbe ukitaja sifa za kiumbe zilizopo kwenye Muda.
NB: Maana ya muda nimeisema apo juu kwa mjumbe aliyeuliza muda ni nn, juss scroll up
Karibu...
Naomba unipe namba ya post ili niokoe muda niisome.Ungeishia neno "sijui" ingependeza ili nikusaidie, ila ulichoendelea apo mbele ndomaana yakukuuliza ulishia la ngap, somo la sayansi primary linaeleza maana na feutures za kiumbe
Cjui kama ulikimbia umande au vp but wenda una hoja nisikufunge jitetee hoja ya Muda kua kiumbe ukitaja sifa za kiumbe zilizopo kwenye Muda.
NB: Maana ya muda nimeisema apo juu kwa mjumbe aliyeuliza muda ni nn, juss scroll up
Karibu...
Wapi binadamu haumbi?? angalia usiwe unaropoka tu mkuu bila kuwa na uthibitisho.Naomba unipe namba ya post ili niokoe muda niisome.
Maana ya kiumbe ki sayansi ina uwanja finyu sana.
Kiumbe ni kilicho umbwa na Muumba,binadamu haumbi,hata kilugha inakataa.
Tuendelee ....
Wapi binadamu haumbi?? angalia usiwe unaropoka tu mkuu bila kuwa na uthibitisho.
Mbona una mbwatambwata tu, taja sifa za kiumbeNaomba unipe namba ya post ili niokoe muda niisome.
Maana ya kiumbe ki sayansi ina uwanja finyu sana.
Kiumbe ni kilicho umbwa na Muumba,binadamu haumbi,hata kilugha inakataa.
Tuendelee ....
Mbona una mbwatambwata tu, taja sifa za kiumbe
Kwanini lisisababishwe na binadamu watu wameumba virus wa gonjwa lenu pendwa ukimwi,sema kingine..Tunga sentensi ikiwa na neno "umba au kuumba" likinasibishwa kwa binadamu.
Haya mambo rahisi sana,hata kugha inakataa kuhusu kuumba kuhusianishwa na mwanadamu.
Tuendelee....
Ndio una uhai.Ok muda una uhai?
Kwanini lisisababishwe na binadamu watu wameumba virus wa gonjwa lenu pendwa ukimwi,sema kingine..
Unaigiza kumuiga kiranga ila mimi nitakupukutisha vizuri tu...Hakuna aliyeumba virusi.
Nakuuliza swali,virusi vina roho ?
Uhai wa virusi umetokana na nini ?
Mmepewa akili,muitumie msiwe wajinga wa kuoigiwa mfano. Binadamu ameshindwa hata kuumba bawa la mbu,seuze aumbe kiumbe chenye uhai ?
Tuendelee...
Unaigiza kumuiga kiranga ila mimi nitakupukutisha vizuri tu...
Narudi kwako roho ni nini?
Kama unaijua roho kwanini uulize uhai umetokana na nini!...
.
NAKUPUKUTISHAA....
Unaigiza kumuiga kiranga ila mimi nitakupukutisha vizuri tu...
Narudi kwako roho ni nini?
Kama unaijua roho kwanini uulize uhai umetokana na nini!...
.
NAKUPUKUTISHAA....
Kama umeijua roho na haujautambua uhai,umedabiga matara hapo mkuu nilikuhakikishia kuwa nitakupukutisha onaa sasaaa...hata hujafika mbali nimekuchalaza.....jibu kwanza maswali yangu,kisha nikujibu maswali yako.