Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Mi nakupa na spy app kabisa ili uone kila hatua mpaka jinsi atavyotafunwa ili mambo yasiwe mengi. Vijana wangu watakuwa around kuhakikisha usalama wa shughuli nzima.
Mahakamani hawatakubali mkuu. Usijali utakuwa salama, au unaonaje nikulipe baada ya kukukamata ugoni?
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Aisee kupitia haya maelezo yako, kwa kweli wanawake wanatakiwa kuwa na huruma.
 
Mngekuwa mnachepuka kwa siri sana tusingejua. Nyie mna siri gani mnachepuka wazi wazi yaani waaazi.

Ila nyie wanaume ni wazinzi sana sijui mna shida gani. Yaani nyie msione mwanamke tu nyege zimewashika. Msisafiri hata mlale lodge wenyewe mkiona kitanda nyege zinawakamata.

Hivi mna nini nyie.?
Kapitie ule Uzi unaotaka wahudumu wa guest wapewe tuzo😂😂
 
Tatizo sio kugongewa tu wengine wanatoa mapaka kile asichokupa yaan kwako anabana hatoi tigo akienda kugongwa nje hadi tigo anagawa bure kabisa, hapo sasa ndipo walume wanapocharuka.. kuna mzee aliwahi kuniuliza unajua mwanamke anachofamywa na mwanaume mwingine?

Yaan kile asichokupa mkiwa ndani ndicho anachompa mwanaume mwingine.. wewe haumzibui mtaro na anakugomea usimguse huko ila anaenda kwa mwanaume mwingine anamwambia ampakue mtaro, ushaelewa hapo?

Chanzo cha maumivu ndio hicho alafu jamaa anaempakua mkeo akikuona anakudharau tu maana anakuona km fala mmoja hivi
Kuna jamaa aliwahi kwenda kupiga chabo demi wake akiliwa alivyoona demi alivyokunjwa jamaa akaangua kilio eti mbona Mimi simkunji hivyo😂😂😂
 
Back
Top Bottom