Kugongewa mke inauma sana

Kugongewa mke inauma sana

Mambo ya kukamatana tena. We ushahidi uungoje kutoka kwangu . Mambo ya FAMCHEZO sio mazuri
Sasa si lazima nikukamate ugoni mkuu ili nipate sababu ya kumuuacha mke wangu. Maana mahakamani wataniuliza sababu ya kumuacha mke wangu nitawapa ushahidi wa kukukamata ugoni basi. Usijali mkuu sitokuja na mafuta wakati wa kukukamata ugoni😁
 
Naona trend ya kugongewa inaongezeka tatizo ni kwamba hakuna consequences kwa anaye chepuka

Dear future wife nikimkakata nitamfanya kitu auschwitz itakuwa kama daycare
 
Would never wish that on my worst enemy. Pole sana boss
 
Mkuu wewe sio mkataa ndoa kweli umekuja kutupoteza maboya ? Ili tuogope ndoa
 
Sasa si lazima nikukamate ugoni mkuu ili nipate sababu ya kumuuacha mke wangu. Maana mahakamani wataniuliza sababu ya kumuacha mke wangu nitawapa ushahidi wa kukukamata ugoni basi. Usijali mkuu sitokuja na mafuta wakati wa kukukamata ugoni😁
Mi nakupa na spy app kabisa ili uone kila hatua mpaka jinsi atavyotafunwa ili mambo yasiwe mengi. Vijana wangu watakuwa around kuhakikisha usalama wa shughuli nzima.
 
Usitume namba yako tu mzee chonde chonde. 🤣
Mkuu nakutumia namba ya mke wangu. Wewe mpige saundi afu unitonye siku na eneo utakalo kwenda kula mbususu. Usijali nitakuhakikishia usalama siku ya ugoni sitokuja na mafuta wala manati ya mzungu. Nikikumata ugoni basi nitaita mwenyekiti na mashahidi wawili watatu basi nitasepa zangu.😁
 
Habari za wakati huu ni mbaya..

Mimi nacho jua wanawake hawaridhiki kabisa hata umpe nini haridhiki.

Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi

NB: Mwanamke anagongwa huko nje alafu anakuja kukuambia eti nisamehe ni tamaa zangu tuu za kimwili. Kweli wanawake tuoneeni huruma wanaume tumebaki wachache sana
Kataa ndoa uishi maisha marefu
 
Naona trend ya kugongewa inaongezeka tatizo ni kwamba hakuna consequences kwa anaye chepuka

Dear future wife nikimkakata nitamfanya kitu auschwitz itakuwa kama daycare
Mkuu me nahisi Kuna kitu hakipo sawa kwa Sasa TZ. na nchi nyingi za Africa

1) Masharti ya Mikopo kusapoti mapenzi ya jinsia moja
2) Video ya Afande kusambaa mitandaoni
(nani alieivujisha ? Na ushahidi upi unaotafutwa )
3) Feminism na maboresho ya 50/50
4) Tamko la mufti wa Tanzania kutaka mashekh na serikali kuzuia ushoga (mtazamo Wangu ni kuupa exposure)
5)watu wa upinde na agenda za kataa Ndoa, na hizi thread za kusalitiwa kwenye social media nyingi
6) matukio ya kuvuja video za mastaa na vipicha picha vya kuonyesha tupu zao (Kuna aliekamatwa ?)

NB: Hakuna kipya chini ya jua, kinachofanyika ni promo, ku-promote Uzinzi, ushoga na usagaji. Nahisi fungu lishaingia Tz.

VITA BADO MBICHI

#VINAPEWA PROMO. Vilikuwepo.
 
Sasa si lazima nikukamate ugoni mkuu ili nipate sababu ya kumuuacha mke wangu. Maana mahakamani wataniuliza sababu ya kumuacha mke wangu nitawapa ushahidi wa kukukamata ugoni basi. Usijali mkuu sitokuja na mafuta wakati wa kukukamata ugoni
Nitakuja mimi nikimn'gang'ania mkeo kama Wangu na nitakuwa shahidi mwenyewe
 
Ushahidi ni mimi mwenyewe na usipo kua makini atakuliza sana, kikubwa ni kuomba tu Mungu usigongewe mke sababu inauma sana na mke anauma sana aisee najua maumivu yake mimi eti.

Na kingine hata ikitokea umegongewa mkeo omba usijue na ikitokea umejua omba nguvu ya kuhimili hayo maana ni mbaya sana unaweza ukawa kichaa kwa muda au ukauwa kama una moyo mwepesi
Amam mwenyewe aligongewa na mdudu tena nyoka (a legless creature) sembuse sisi leo tena watz wa mbali kabisa huku!!
 
Mkuu me nahisi Kuna kitu hakipo sawa kwa Sasa TZ. na nchi nyingi za Africa

1) Masharti ya Mikopo kusapoti mapenzi ya jinsia moja
2) Video ya Afande kusambaa mitandaoni
(nani alieivujisha ? Na ushahidi upi unaotafutwa )
3) Feminism na maboresho ya 50/50
4) Tamko la mufti wa Tanzania kutaka mashekh na serikali kuzuia ushoga (mtazamo Wangu ni kuupa exposure)
5)watu wa upinde na agenda za kataa Ndoa, na hizi thread za kusalitiwa kwenye social media nyingi
6) matukio ya kuvuja video za mastaa na vipicha picha vya kuonyesha tupu zao (Kuna aliekamatwa ?)

NB: Hakuna kipya chini ya jua, kinachofanyika ni promo, ku-promote Uzinzi, ushoga na usagaji. Nahisi fungu lishaingia Tz.

VITA BADO MBICHI

#VINAPEWA PROMO. Vilikuwepo.
Asahau kucheat or else atakufa on my hands
 
Back
Top Bottom