kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,332
- 12,647
Timu kubwa Duniani huwa zinapoteza mechi kwa kufungwa na timu ndogo na dhaifu kwenye mashindano.
Yanga imefunga au kutoka sare na timu zote imara kwenye ligi na kupoteza mechi kwa timu iliyoko mkiani mwa ligi. Hii imetokea kwa timu kubwa kama Ujerumani na Argentina kufungwa na timu ndogo kwenye mashindano.
Hakuna timu ambayo haifungwi, lakini inategemea inafungwa na timu zipi na mara ngapi.
Yanga imefunga au kutoka sare na timu zote imara kwenye ligi na kupoteza mechi kwa timu iliyoko mkiani mwa ligi. Hii imetokea kwa timu kubwa kama Ujerumani na Argentina kufungwa na timu ndogo kwenye mashindano.
Hakuna timu ambayo haifungwi, lakini inategemea inafungwa na timu zipi na mara ngapi.