Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,391
- 81,864
Hivi hawa Ihefu ndiyo wale wale walio wafunga kweli Yanga goli 2-1 kule Highland Estate!!
Mpira umemalizika muda si mrefu leo tarehe 18/12/2023 kwenye uwanya wa Jamhuri Dodoma.
Yaani msimu mzima wanajiandaa kwa ajili ya kuifunga Yanga tu kwenye uwanja wao wa nyumbani, halafu baada ya hapo wanageuka kuwa pombe ya kwenye sherehe!
Kwenye msimamo wa Ligi, wako mkiani na mwenzake Mtibwa Sugar!! Ndugu zangu wa Ihefu, kiweni makini! Mtashuka yena daraja. Huu utaratibu wa kuikamia timu mmoja tu ni wa hovyo. Badilikeni.
Mpira umemalizika muda si mrefu leo tarehe 18/12/2023 kwenye uwanya wa Jamhuri Dodoma.
Yaani msimu mzima wanajiandaa kwa ajili ya kuifunga Yanga tu kwenye uwanja wao wa nyumbani, halafu baada ya hapo wanageuka kuwa pombe ya kwenye sherehe!
Kwenye msimamo wa Ligi, wako mkiani na mwenzake Mtibwa Sugar!! Ndugu zangu wa Ihefu, kiweni makini! Mtashuka yena daraja. Huu utaratibu wa kuikamia timu mmoja tu ni wa hovyo. Badilikeni.