Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Jibu: Kwa sababu watu wa vijijini wamefunguliwa na sasa wametambua kuwa hawana matumaini tena na CCM kwani haijalishi kama wako CCM au nje ya CCM maisha yao yako vile vile. Watu wa mijini - wasomi, wenye fedha na wenye raslimali zaidi za maisha BADO WENGI wana matumaini na CCM!
ELABORATE a.k.a EXPOUND!!
ELABORATE a.k.a EXPOUND!!