mtotowamjini
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 4,526
- 1,169
nchi yoyote duniani utakuta ule mji mkuu au miji mikubwa serikali ina influence sana kwa sababu wenye hela wote wako mijini na ndio wanao lobby serikali, huko vijijini wananchi hawana say kabisa na wakati wa uchaguzi watu wanaenda kutoa rushwa unakuta wanavijiji wanapewa shs 10000 kila mmoja wanakupa kura yao...huko mijini unazani unaweza kuwarubuni watu na shs 10000??