Inawezekana ni kweli mabadiliko hayatoanzia mijini bali vijijini?
Udhaifu wa kufikiri huo.
Ngome ya CCM iko vijijini na si mjini. Usitake kuwalambisha watu tope.
uko wrong kuhusu watu wa mjiniJibu: Kwa sababu watu wa vijijini wamefunguliwa na sasa wametambua kuwa hawana matumaini tena na CCM kwani haijalishi kama wako CCM au nje ya CCM maisha yao yako vile vile. Watu wa mijini - wasomi, wenye fedha na wenye raslimali zaidi za maisha BADO WENGI wana matumaini na CCM!
ELABORATE a.k.a EXPOUND!!
Jibu: Kwa sababu watu wa vijijini wamefunguliwa na sasa wametambua kuwa hawana matumaini tena na CCM kwani haijalishi kama wako CCM au nje ya CCM maisha yao yako vile vile. Watu wa mijini - wasomi, wenye fedha na wenye raslimali zaidi za maisha BADO WENGI wana matumaini na CCM!
ELABORATE a.k.a EXPOUND!!
uko wrong kuhusu watu wa mjini
watu wa mjini hawaitaji kusema wanaikimbia ccm ila matendo yao ndio utajua.
Mfano jimbo la kawe limeanzia osterbay, mikocheni kawe mbezi tegeta na kuendelea. Hawa watu wanakula keki ya taifa vilivyo lakini wamechagua chadema.
Hawa watu hawaji kwenye mikutano ya campaign lakini wanafuatilia siasa kwa ukaribu sana. Watu wa mjini wameshakimbia lakini hawasemi
Tatizo hao wananchi wa vijijini wengi hawajasoma, hivyo chadema wanatumia ujinga wa wananchi kuwapotosha kuhusu serikali iliyopo madarakani, ndiyo maana wengi wa washabiki wa Chadema ni weupe kichwani.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Na CCM ilipojikita huko vijijini nakupatiwa ushindi kutoka vijijini ni kwa sababu ya huo ujinga wao?
kwa miaka mingapi watakuwa wamemkomboa huyu mwananchi maskini?Wanachagua CCM kwa kuwa ni chama pekee hapa Tanzania chenye lengo la dhati kumkomboa mwananchi toka janga la umaskini.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
kwa miaka mingapi watakuwa wamemkomboa huyu mwananchi maskini?
Udhaifu wa kufikiri huo.
Ngome ya CCM iko vijijini na si mjini. Usitake kuwalambisha watu tope.
Tatizo hao wananchi wa vijijini wengi hawajasoma, hivyo chadema wanatumia ujinga wa wananchi kuwapotosha kuhusu serikali iliyopo madarakani, ndiyo maana wengi wa washabiki wa Chadema ni weupe kichwani.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
Nape inabidi aangalie tena safu yake ya mawakala hapa JF kwa sababu ni aibu kuandika ***** namna hii kwa GTs.
On the red: that was then! Sasa hivi mambo yamegeuka!
'
Shule za kata nazo zina mchango kwenye mapinduzi haya. Karibu kila kata ina sekondari na inazalisha vijana wengi, wengi wao wanabaki hapo hapo kijijini. Hawa ni uzao wa miaka ya 90 uzao wa mageuzi, wanajua matatizo wanayopata yamesababishwa na serikali ya CCM. Hawa ndio wanakuwa kama wasemaji wa center towns huko vijijini, kwa vile wana angalau elimu ya sekondari wanauwezo wa ushawishi kwa wenzao na wazazi wao kuhamia vyama vya upinzani.