Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,941
- 3,963
Wadau kuna mrembo flani hivi ni muislamu ila tumeelewana sana na tunatamani tuishi kama mume na mke, mm ni mkristo. Tatizo la huyo manzi hataki kubadili dini na ameshauri kama tukikibalina kuishi pamoja basi tukafunge ndoa kwa mkuu wa wilaya.
Nawaza sana kuikabidhi ndoa yangu kwa mkuu wa wilaya badala ya kumkabidhi Mungu. Nilitamani sana tufunge ndoa kanisani halafu baada ya ndoa kila mmoja aendelee na dini yake ila manzi kagoma.
La pili nilitaka uzoefu wenu kuhusu kuishi na mwenza wako akiwa ni dini tofauti, nawaza pia watoto wanaweza kumfwata mama yao kwenye dini yake wakati mimi natamani wanifwate kwenye ukristo.
Naombeni ushauri wadau
Nawaza sana kuikabidhi ndoa yangu kwa mkuu wa wilaya badala ya kumkabidhi Mungu. Nilitamani sana tufunge ndoa kanisani halafu baada ya ndoa kila mmoja aendelee na dini yake ila manzi kagoma.
La pili nilitaka uzoefu wenu kuhusu kuishi na mwenza wako akiwa ni dini tofauti, nawaza pia watoto wanaweza kumfwata mama yao kwenye dini yake wakati mimi natamani wanifwate kwenye ukristo.
Naombeni ushauri wadau