Hiyo ni karibu mikoa mitano ila Dar pekee ina kura mil. 3.
Unapokosea ni kuweka target kwa Lowassa tu.
Watu wanapiga pasi ndefu.
Kanda ya ziwa ina majimbo mengi sana ya ubunge
Hiyo ni karibu mikoa mitano ila Dar pekee ina kura mil. 3.
Kwanza jiulize mbona Kikwete kila siku yupo Marekani?UKIWA hamjajiuliza kwanini LUWASA apenda enda Dar kila wakati....muona daktari ili pima afya ngogoro...
Wewe nenda tu,ile siku si uliniacha?
Safari hii nitaenda na kaka zangu wengine wanaonipenda na kunijali.
Huenda unaandika hii post uko Dar,ila nikuambir tu kanda ya Ziwa Mgombea pekee atakayeongoza ni Magufuli..."uluulema lekaga nkoi tugwisaga halubuga"
Ndio sasa ujue huwezi kumtumia Gwajima kama strategist wako. Hizo milioni 3 za Dar ni za kugawana. Ila za Arusha, Moshi na Manyara ni za uhakika. Kuonesha yupo pamoja nao angefungia kampeni Sheikh Amri Abeid.
Chadema wawahi kabisa coverage ya television kabka hawa jamaa hawajalipia zote kwa siku tatu mfululizo.
Natabiri umeme kukatika dar siku hiyo ya kufunga kampeni
My dear, kupata air time ni Kazi kubwa UKAWA!!!Kama wamekumbuka kuwahi kiwanja cha Jangwani live coverage watakuwa wanakumbuka.
Nawapongeza sana viongozi wa UKAWA,wametumia intelijensia ya hali ya juu katika kupanga sehemu ya kufungia kampeni.
Endapo wangefungia Arusha lingekuwa kosa kubwa sana maana ile dhana ya ukabila ingepata mashiko.
Wale wenzetu sijui kwahili watajitetea vipi....
Sisi UKAWA tuna ukabila,wao wanaofungia kampeni Mwanza wanajitoa vipi katika ukabila?
#KataaUkabila
#TanzaniaNiYetuSote
#ChaguaUKAWA
Umenena vyema mkuu