Mutakyamirwa
JF-Expert Member
- Jan 24, 2011
- 4,942
- 1,360
Mwanza ni ngome ya chadema.....ni vizuri ukawa ikawa viwanja hivyo au vile vya furahisha siku moja au mbili kabla. Najua mwanza ukawa haijafika lasmi.. .tunawapenda watu wa mwanza wanajitambua....hivyo siku moja ya usaniii wa ccm haiwezi kuwabadilisha.
Mwisho: ni vizuri kutafuta viwanja vikubwa kwa kuimalisha usalama ktk viwanja hivyo. Tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu. Hatutaki yaliyotokea Madina....
Tutashinda....lengo letu ni kushinda. . Lubuva aache vijana walinde kura zao mita 100 kutoka vituoni . Awaonye polisi kutokutumia nguvu na jaribu lolote la kulinda wakurugenzi kutangaza matokeo kinyume na ujumla wa kura vituoni.
Mwisho: ni vizuri kutafuta viwanja vikubwa kwa kuimalisha usalama ktk viwanja hivyo. Tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu. Hatutaki yaliyotokea Madina....
Tutashinda....lengo letu ni kushinda. . Lubuva aache vijana walinde kura zao mita 100 kutoka vituoni . Awaonye polisi kutokutumia nguvu na jaribu lolote la kulinda wakurugenzi kutangaza matokeo kinyume na ujumla wa kura vituoni.