Kufunga kampeni: UKAWA-Jangwani, CCM- Mwanza CCM Kirumba

Kufunga kampeni: UKAWA-Jangwani, CCM- Mwanza CCM Kirumba

Mwanza ni ngome ya chadema.....ni vizuri ukawa ikawa viwanja hivyo au vile vya furahisha siku moja au mbili kabla. Najua mwanza ukawa haijafika lasmi.. .tunawapenda watu wa mwanza wanajitambua....hivyo siku moja ya usaniii wa ccm haiwezi kuwabadilisha.

Mwisho: ni vizuri kutafuta viwanja vikubwa kwa kuimalisha usalama ktk viwanja hivyo. Tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu. Hatutaki yaliyotokea Madina....

Tutashinda....lengo letu ni kushinda. . Lubuva aache vijana walinde kura zao mita 100 kutoka vituoni . Awaonye polisi kutokutumia nguvu na jaribu lolote la kulinda wakurugenzi kutangaza matokeo kinyume na ujumla wa kura vituoni.
 
Hii iko kimkakati zaidi, sisiemu wameenda sehemu yenye watu wengi na wapiga kura wengi zaidi.
 
Nimezuiwa kwenda kumpigia kura rais nimtakaye kwa hiyo mtaobahatika kwenda kupiga kura ninawaombea .

Kwanini mkuu?Hata hivyo pole sana.
Ni bora mtu aninyime pesa lakini sio kwenda kumpigia kura Lowassa!
 
Ndio sasa ujue huwezi kumtumia Gwajima kama strategist wako. Hizo milioni 3 za Dar ni za kugawana. Ila za Arusha, Moshi na Manyara ni za uhakika. Kuonesha yupo pamoja nao angefungia kampeni Sheikh Amri Abeid.
Manyara na Arusha ni kwa ccm...

ongelea Babati,Monduli,Arusha jiji,Arumeru Magharibi,Simanjiro,longido,Hanang,Karatu..
kote huku ccm imepitisha wagombea waliopendwa na wananchi baada ya kujifunza kutokana na kosa la 2010.

Sumaye hana influence kwenye siasa za Manyara...

Chadema imewatosa akoonay na Slaa ambao walikuwa na ushawishi mkubwa maeneo ya Arusha na manyara.

lowassa hana influence nje ya Monduli ambayo nayo malagwanani walishabariki iende kwa sokoine Namelok.

Arusha jiji lema hajafanya kitu na bahati mbaya ccm wamemsimamisha swahiba wa lowassa na aliyejipanga kuchukua ubunge mda mrefu.

Hanang ni mary nagu ambaye ameonesha performance nzuri jimboni na Taifani.

Arusha ina kura chache ...chini ya milioni moja!!

NYUMBU WANAFUATA TU NA KUPIGA KELELE WAKATI WATU WAMEJIPANGA NA KUPIGA KAMPENI KISAYANSI...MWISHO WA SIKU NYUMBU WATACHUKULIWA NA MAFURIKO YAO NA KUTUONDOLEA KELELE ILI SISI TUPIGE #HAPAKAZITU NA PUSH UPS ZA KUTOSHA.
 
Kanda ya ziwa ina kura milioni sita

Me nipo kanda ya ziwa Mwanza yaani katika hizo kura million 6 million 5.8 ni za Lowassa Mwanza pote ni Lowassa na kanda ya ziwa usiongee
 
Dar imewageuka, wanaenda kuiadaa Mwanza. Hata hivyo hawana chao huko. Ukawa itakuwepo siku tatu kabla na kishindo hicho hawawezi kukifuta siku mbili baadae.....
 
Nawapongeza sana viongozi wa UKAWA,wametumia intelijensia ya hali ya juu katika kupanga sehemu ya kufungia kampeni.
Endapo wangefungia Arusha lingekuwa kosa kubwa sana maana ile dhana ya ukabila ingepata mashiko.
Wale wenzetu sijui kwahili watajitetea vipi....
Sisi UKAWA tuna ukabila,wao wanaofungia kampeni Mwanza wanajitoa vipi katika ukabila?
#KataaUkabila
#TanzaniaNiYetuSote
#ChaguaUKAWA
 
Hii iko kimkakati zaidi, sisiemu wameenda sehemu yenye watu wengi na wapiga kura wengi zaidi.
Hata waje walale barabarani wakazi wa kanda ya ziwa tumeshafanya maamuzi Lowassa ndio Rais wetu mpaka Chato hilo hatubishani.
 
Mwanza ni ngome ya chadema.....ni vizuri ukawa ikawa viwanja hivyo au vile vya furahisha siku moja au mbili kabla. Najua mwanza ukawa haijafika lasmi.. .tunawapenda watu wa mwanza wanajitambua....hivyo siku moja ya usaniii wa ccm haiwezi kuwabadilisha.

Mwisho: ni vizuri kutafuta viwanja vikubwa kwa kuimalisha usalama ktk viwanja hivyo. Tumeanza na Mungu tutamaliza na Mungu. Hatutaki yaliyotokea Madina....

Tutashinda....lengo letu ni kushinda. . Lubuva aache vijana walinde kura zao mita 100 kutoka vituoni . Awaonye polisi kutokutumia nguvu na jaribu lolote la kulinda wakurigenzj kutangaza matokeo kinyume na ujumla wa kula vituoni
Mwanza ipi unayoongelea wewe? Mwanza hii ambayo ni sehemu ya KANDA YA ZIWA? Kanda ya ziwa ni ya Magufuli, hii haina ubishi, sijui upande wa wabunge, ila urais ukawa wamefanya kitu sahihi kupunguza gharama ambazo ingekuwa ni sawa na kutupa pesa chooni.
Kanda ya ziwa ni ya Mahufuli. Dar, ni 50-50, kanda ya kati ni sisiemu, Magharibi kila mtu ana nafasi, kusini 50-50, Zenji Pemba ni CUF Unguja ni sisiemu, kaskazini labda ndo nhome ya chadema, ila pande za Tanga na kusini Mashariki huko asilimia kubwa ni sisiemu.
 
Kwanini mkuu?Hata hivyo pole sana.
Ni bora mtu aninyime pesa lakini sio kwenda kumpigia kura Lowassa!
Uchambuzi wa magazeti r.f.a. leo asubuhi NEC wamesema kila mtu atapiga kura sehemu aliyojiandikishia sa sa mimi nilikuwa chuoni hivyo nikawa na matumaini ya kupiga jura ya rais amapo matumaini hayo yamezimwa rasmi
 
Ikiwa NEC wanagundua kosa baada ya tukio kupita wakiwa tayar wameisha tangaza matokeo, je itakuaje endapo watatangaza matokeo alafu wakajagundua kuwa kuna watu wamepiga kura mara mbili? na kura zikawa zmepishana kidogo sana
 
Ndio sasa ujue huwezi kumtumia Gwajima kama strategist wako. Hizo milioni 3 za Dar ni za kugawana. Ila za Arusha, Moshi na Manyara ni za uhakika. Kuonesha yupo pamoja nao angefungia kampeni Sheikh Amri Abeid.
Hizo za Arusha, Kilimanjaro na Manyara kwa Ukawa zipo tu hata wasipoenda kufanya kampeni.
 
Uchambuzi wa magazeti r.f.a. leo asubuhi NEC wamesema kila mtu atapiga kura sehemu aliyojiandikishia sa sa mimi nilikuwa chuoni hivyo nikawa na matumaini ya kupiga jura ya rais amapo matumaini hayo yamezimwa rasmi

Pole sana,nilitaka nikuambie kitu ila niambie endapo ungepiga kura ungemchagua nani kama rais wako?
 
Hata waje walale barabarani wakazi wa kanda ya ziwa tumeshafanya maamuzi Lowassa ndio Rais wetu mpaka Chato hilo hatubishani.

Kila la heri, na tuombeane uzima. Kura yako ITAULIWA na yangu huku Dar, nampigia Magufuli, kisha za ndugu na Marafiki zangu zitaamua Magufuli ndo rais.
 
Back
Top Bottom