Kufunga kampeni: UKAWA-Jangwani, CCM- Mwanza CCM Kirumba

Kufunga kampeni: UKAWA-Jangwani, CCM- Mwanza CCM Kirumba

Oyoooooo!Jamani nimefurahije?
Can't wait kabisa kwenda Jangwani kwa mara nyingine,ile mara ya kwanza nilichelewa nilienda saa 7,this time nitaenda saa 4 asubuhi maana patakuwa hapatoshi!
Wanamabadiliko tukutane Jangwani October 24.
Uende na mtungi wa oxygen ili usiishiwe hewa..!
 
Kwanza kabisa, siongelei uchaguzi uliopita au wabunge waliomaliza muda wao, suala la majimbo mengi yako chini ya upinzani, huko mmeshafanya uchaguzi wa wabunge? SIDHANI, hivyo hao 'wabunge' wengi wa upinzani kwa sasa hawana tija.
pili nimesema sina uhakika na wabunge, ila kwa uchaguzi unaokuja, Magufuli kabena kanda ya ziwa, nina macho yenye ya kuona vizuri, masikio ya kusikia vizuri na ubongo wenye afya wa kutafakari, kanda ya ziwa Magufuli atashinda kwa kishindo, sina uhakika na upande wa ubunge na udiwani.
CHATO

Kati ya vitongoji 20 vya kata ya Chato, CCM imeambulia vitongoji vitano tu ambavyo ni Chato Kati, Msikitini, Uswahilini, Simu na Ushirika huku Chadema wakiibuka kidedea kwa vitongoji 15.

Mjumbe wa Bunge la Katiba kupitia tiketi ya wavuvi, Tulutoza Bagambisa (CCM), alibwagwa na mgombea Chadema baada ya kupata kura 91 dhidi ya 167 za Fares Kabunazya.
 
Oyoooooo!Jamani nimefurahije?
Can't wait kabisa kwenda Jangwani kwa mara nyingine,ile mara ya kwanza nilichelewa nilienda saa 7,this time nitaenda saa 4 asubuhi maana patakuwa hapatoshi!
Wanamabadiliko tukutane Jangwani October 24.


Ntaamkia JANGWANI
 
Ndio sasa ujue huwezi kumtumia Gwajima kama strategist wako. Hizo milioni 3 za Dar ni za kugawana. Ila za Arusha, Moshi na Manyara ni za uhakika. Kuonesha yupo pamoja nao angefungia kampeni Sheikh Amri Abeid.

you are really super bad.........................in a negative way
 
Nawapongeza sana viongozi wa UKAWA,wametumia intelijensia ya hali ya juu katika kupanga sehemu ya kufungia kampeni.
Endapo wangefungia Arusha lingekuwa kosa kubwa sana maana ile dhana ya ukabila ingepata mashiko.
Wale wenzetu sijui kwahili watajitetea vipi....
Sisi UKAWA tuna ukabila,wao wanaofungia kampeni Mwanza wanajitoa vipi katika ukabila?
#KataaUkabila
#TanzaniaNiYetuSote
#ChaguaUKAWA

muelimishe huyu asiyejielewa....
Ndio sasa ujue huwezi kumtumia Gwajima kama strategist wako. Hizo milioni 3 za Dar ni za kugawana. Ila za Arusha, Moshi na Manyara ni za uhakika. Kuonesha yupo pamoja nao angefungia kampeni Sheikh Amri Abeid.
 
Mwanza na kanda ya ziwa ndiyo sehemu inayodetermine ushindi safii sana CCM
 
Ndio sasa ujue huwezi kumtumia Gwajima kama strategist wako. Hizo milioni 3 za Dar ni za kugawana. Ila za Arusha, Moshi na Manyara ni za uhakika. Kuonesha yupo pamoja nao angefungia kampeni Sheikh Amri Abeid.

Kwenu mwanza ni za uhakika?

Au hamjui kuwa huko ndiko mna hali mbaya zaidi
 
patamu sana hapa ccm wanaenda kufunga kampeni kwa wavuvi wa sangara na sato .itakuwaje wakiulizia nyavu zao zilizochomwa moto ,na mgombea ni yule alietoa amri , itakuwaje wakimuuliza kuwa hata wewe wa nyumbani unatutesa hivi na familia ipate mlo mmoja mi napita tu nitarudi baadae
 
patamu sana hapa ccm wanaenda kufunga kampeni kwa wavuvi wa sangara na sato .itakuwaje wakiulizia nyavu zao zilizochomwa moto ,na mgombea ni yule alietoa amri , itakuwaje wakimuuliza kuwa hata wewe wa nyumbani unatutesa hivi na familia ipate mlo mmoja mi napita tu nitarudi baadae

Ni kiongozi mpumbavu anayeweza kukubali wavuvi watumie nyavu ndogondogo kwa ajili ya uvuvi wa Sangala na samaki. Kama leo tutaruhusu vichanga vya samaki vivuliwe, kesho tutapata wapi kizazi kipya.
Fikiria kwa mapana, serikali hairuhusu matumizi nyavu ndogo kwa kwa sababu hiyo na wala sio kuwaonea wavuvi..
Mbona wavuvi wa dagaa wanaruhusiwa kutumia nyavu zao na hazichomwi moto
 
We kweli mwehu... Na hilo unabisha, ingia kwenye website yao au google

mimi na wewe nani mwehu, ingia kwenye hiyo website ulete ushahidi ya kwamba Dar ina wapiga kura milioni 3, haina haja ya kuniita mwehu leta huo ushahidi kutoka tume...

vinginevyo uache uongo...
 
Suala la ukabila kwa ccm kufungia kampeni Mwanza,ni kweli kabisa ,mie nipo Mwanza ila watu wana mpenda mgombea wa ccm sababu ya ukabila
 
Natabiri umeme kukatika dar siku hiyo ya kufunga kampeni

Itakuwa vizuri sana ili wakazi wa dar wamiminike uwanjani then watakaokuwa wanafuatilia live mikoani wapate hamasa zaidi.
 
Tunajua ndio maana tunaenda kuwaaga watu wa Mwanza.

kimkakati hapa ccm wamechemka hii itaonyesha dhahir ni ukabila na ukitegemea kigezo hicho kiweze kum beba magufuli nadharia hii imefaili kati ya watu wenye mwamko wa kuichukia ccm kanda ya ziwa wapo juu na upepo unavuma hivyo , na ni watu pia ccm imewanyanyapaa kwenye madini ,uvuvi ,mifugo inaibwa sioni hoja hapa ya kushawishi ushindi
 
Back
Top Bottom