simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Jamani badungu siyo lazima kufumba macho unapo busu au ndio mzuka?
hivi watu huwa wanafungaga macho.....?
Mim huwa nasema leo najizuia kufumba but automatically nakuta yamejifumba...
ndio ni lazima.....
Ni amri....
Ni sheria....
It happens automatically... Especially when you truly have feelings for the person you are kissing!
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!.
.
"WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI".
hivi watu huwa wanafungaga macho.....?