Kufumaniwa raha sana..

Kufumaniwa raha sana..

Hivi punde

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
2,554
Reaction score
8,627
Kufumaniwa raha sana. Kufumania ni uchungu sana.Unaweza omba mbingu ipasuke uzame ndani uachane na huyo kiumbe.

Ukimfumania usiyemhitaji ni kick nzuri sana ya kuhalalisha utengano. Raha sasa ufumaniwe na anayekupenda.


Ulishawahi kufumaniwa au kufumania? Ilikuwaje na ikawaje? Kukupata ngeu kutoka kwa vijana wa kazi mjini?
 
Hata uwe tabura rasa kiasi gani! Ukifumaniwa ni lazima akili iwe inapiga kazi muda wote....yaani kama unashuka mataa kwa Mara ya kwanza kutoka mkoani.
 
umewahi fumaniwa au fumania mara ngap?
 
Najua mlionifumania mko humu ndani tena wawili mlipigana any way sisemi yale matukio kha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom