Kuingia kwa wingi kwa simu za mchina na kuwa bei nafuu ndio imekuwa suluhisho kwa vibaka.Kwani mtu anaona kwa nini anunue mkononi wakati anajua hata dukani atapata kwa bei poa. Pia hata kibaka mwenyewe anaona kwanini arisk maisha kwa sim zilizoshuka bei.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.