Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Ndio maana nashauri nkuoa karibia na uzeeni hizi presha zitakuepuka sana lakini kuoa katika hizi age zetu za 27 na 28 na kukutana na mkeo amegeuza chupi kudadadeki presha inapanda hapo halafu ukivuta unamuacha mshikaji ndio anakula full time sasa without contract kama kabla wakati ukiwa hai. Wanawake watu wa ajabu sana wanadanganywa hata kwa peremende hata kama wana miaka 30jamaa yangu kaniomba ushauri.
anadai jana asubuhi kamwona mkewe akivaa
na kila kitu kilikuwa salama, lakini jioni mkewe
aliporudi wakati anabadilisha nguo akaona kwamba
mkewe amegeuza chupi yake nje ndani.
sasa anajiuliza imekuwaje amkewe arudi amegeuza
kufuli? au ndio jamaa wameishamsaidia!
nimemwambia ngoja nifikirie jibu. jee waungwana
mnasemaje?
Fidel80 i real sapoti your 2012 marriage project Sir